bornagain
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 3,383
- 1,357
Habari wana Jf.
Kuna mtu ameniuliza swali limenishinda naombeni msaada wenu, alipata period yake tarehe 16 akasex na boyfriend wake tarehe 30 na 31 mchana, then usiku wa tarehe 31 akakutana na mwanamme wake mwingine wakalala wote hivyo walisex tarehe 31 usiku na tarehe 1 asubuhi.
amepima ana ujauzito kichwa kinamuuma nani baba wa mtoto?
Wote ni baba wa mtoto