Nani bora kati ya Paul Pogba na Kevin De Bruyne?

Kwa wanaojua mpira watakuambia kuangalia statistics kama assists au number of goals sio kila kitu, ukiangalia hizo statistics unaweza kusema Paul Scholes, Andreas Iniesta ni wachezaji wa kawaida sana (average players at best) lakini pambana nao uwanjani ndio utaelewa
 
Soma mada uelewe!

Kazi ya kiungo ni ku assist na kuchezesha timu.

Pogba ana assist 9 wakati amecheza mechi 13 tu

De bruyne ana assists 9 amecheza mechi 23

Kwa akili yako unadhan hapo nani zaidi?
Kwani kinachofanya kiungo aonekane ni bora ni assist pekee?
 
Jamaa anajua kuifanya timu icheze vizuri, yani anafanya majukumu yake kama mchezaji, pamoja na kusaidia majukumu ya wengine.
Kwani Pogba hajui?

Tunampima kiungo kwa assist je huyo kelvin ana assits ngapi na pogba ana ngapi ukilinganisha na mechi walizocheza?
 
At least wewe umejibu vizuri, assist pekee hazifanani mchezaji aonekane bora.
 
Kwani Pogba hajui?

Tunampima kiungo kwa assist je huyo kelvin ana assits ngapi na pogba ana ngapi ukilinganisha na mechi walizocheza?
Narudia tena, assist pekee haifanyi mchezaji aonekane bora kuliko wengine, chukulia mfano kante pale Chelsea, unaweza usione kama anafanya kazi kubwa akiwa uwanjani lakini, ukitaka ujue anafanya kazi kubwa subiri akikosekana kikosini!
 
Ndio maana tunasema pogba ni mzuri maana ana mechi chache na mziki wake uwanjan unaonekana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…