ndio hvyo wengine wanaanza tangu wana miaka 9. + 9 nyingine hapo kati atakuwa amenusurika kweli?Mmmmmhh! under 18 makubwa hayo!!
Ni kweli, wanawake wanazingua sana, hawana msimamo thats why wanaume huwa hatuingi kwa miguu yote, mwisho wa siku wanaumia wao though huwa wanatuumiza pia!Mapenz hayana maana... Wanawake hawafai!
Nasry utamleta mwenyewe darajani au 2je 2mchukue wenyewe.Mie ujanja wangu wote wa kujifanya loverboy nilipatikana pia. sito sahau but life goes on na sasa nina furaha.