Nani hajawahi kuumizwa!!!!

Nani hajawahi kuumizwa!!!!

mmmh..asilimia kubwa washawahi kuumizwa c unajua tna unampenda mtu ambaye ana akili yake,miongozo yake na preferences zake pia.
 
Mmmmmhh! under 18 makubwa hayo!!
QUOTE=Husninyo;2087894]Mmh! Pole sana. Wengine under 18 lakini washaumizwa.[/QUOTE]
 
Wengi wameumizwa na mapenzi, na maumivu yake si ya kitoto, kila siku nikuusikia huo wimbo nakumbuka ya kwangu na kuumia tena moyo naona kama yangu hayaponi but naendelea kumuomba Mungu aniponye hayo majeraha. Naungana na aliyesema wengine story zao kama movie tena ya kinigeria.
 
Jifunze kuacha na kuzika maumivu kwenye kaburi la sahau! the past ill remain as reference nothing 2 do with future! focus, intergrety, self dertimination, cofidence,strong standing ar tools 4 success sahau kutendwa
 
mapenzi hayana mwenyewe wala hayana formula,ndo mana huwez kwepa kuumizwa Kama hujawai umia basi bado hujapenda Mana unaweza ukawa na mtu wako hamjaachana na anakuumiza vilevile.
 
Mie ujanja wangu wote wa kujifanya loverboy nilipatikana pia. sito sahau but life goes on na sasa nina furaha.
 
maybe wapo lakin kujua kwangu mm up to now basi im criying inside nakufa ndani kwa ndani ,, nimeteseka sana ila hakuna mwanzo usio kua na mwisho
 
jamani,,usiwe unasema oneside, tu. hayo mambo yapo pande zote mbili ,m'mke na m'me
 
Kama kila mtu keshaumizwa ina maana wote tuna experience tayari, so w'll be making experienced couples.
 
Back
Top Bottom