Nani hasa aliwaingiza Wakurya wengi Jeshini?

Mkuu mimi ni mkurya (mwirege ) asante sana tena sana kwa kunifungua ufahamu kuhusu asili yangu. My God bless you, kama una vingine mkuu weka humu wengine hatujakulia ukuryani. So I know a little bit about my home.
 
Mkuu mimi ni mkurya (mwirege ) asante sana tena sana kwa kunifungua ufahamu kuhusu asili yangu. My God bless you, kama una vingine mkuu weka humu wengine hatujakulia ukuryani. So I know a little bit about my home.
Uwe unaenda home mura...

Wasaghane wasikufanye usahau om..

Au ukiona vipi uwe unaenda pande za kitunda kule ni kama uko tarime
 
Uwe unaenda home mura...

Wasaghane wasikufanye usahau om..

Au ukiona vipi uwe unaenda pande za kitunda kule ni kama uko tarime
Hata wewe ni mkurya kama nimesema uongo mwambie mod anipe ban[emoji23]
 
Jeshini kuna hitaji watu jasiri na shupavu, ndo maana wachaga huwaoni huko kwa wingi kwasababu ni walegevu mno.
Yaani kazi za kutumia misuli na mabavu kidogo kama kwenye majeshi, kabumbu nk ndugu zangu wachaga ni kuwatafuta kwa tochi huko,, adimu sana!!!!
 
Sisi wakerewe hayo hayatuhusu kazi yetu ni kuvua miselebende tu.
 
Be specific.....kuna wanajeshi wangapi tz.....orodhesha kila kabisa ndipo naweza angalau kuchangia sababu.....mi nnavojua wasukuma ndo wengi maana 85% ya wanajeshi nliowahi kukutana nao ni was....ukuma
 
Vitengo vingi vya fedha na uhasibu pamoja na ugavi ndani ya majeshi vimeshikiliwa na wachaga....usiulize kwanini....madarasa wanayo katika hizo fani
 
Be specific.....kuna wanajeshi wangapi tz.....orodhesha kila kabisa ndipo naweza angalau kuchangia sababu.....mi nnavojua wasukuma ndo wengi maana 85% ya wanajeshi nliowahi kukutana nao ni was....ukuma
Umeeleweka kwa comment yako
 
Vitengo vingi vya fedha na uhasibu pamoja na ugavi ndani ya majeshi vimeshikiliwa na wachaga....usiulize kwanini....madarasa wanayo katika hizo fani
Acha kujitekenya mkuu
 
Uzi umenisisimua!

Inabidi niende nyumbani nikape baraka za wazee mwaka huu!

"SASA UNAINGIA MKOA WA MARA, BE STRONG"
 
Tatigha ,
Mkuu
Duuuuuuh.
Haaa haaaa haaa haaaa teeeh teeeeh teeeh teeeeh teeeh

Niliwahi kusikia kwamba Jenerali Mwita Kyaro alipokuwa akipita na gari yake na kumkuta askari anatembea kwa miguu na nafasi imo garini mwake aliwabeba.Pia nikasikia kuna siku alipelekewa magunia ya sukari akasema "Yote hii ya nini?". Akachukua kilo kadhaa kisha akawaambia: "Hii nyingine pelekea askari!". Hao watu waacheni bwana wako vizuri!
 
Narudia mara ya mwisho hakuna kabila la wakurya, Wakurya ni mkusanyiko wa makabila mbali mbali kutoka mkoa wa Mara na hilo neno wakurya ni region ipo Kenya karibu na boarder ya Tanzania ina itwa Kurya county
we nae ni hewa sana hujui hata kenya kuna kabira la wakurya...Mgumu na Tarime hamna kabila jingine tofaut na wakurya hao wengine ni wa kuja tu...maana kwa sasa wajaruo wanapatikana wilaya ya Rorya..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…