Nani hufanya vetting pindi Rais akihitaji kupata kiongozi?

Nani hufanya vetting pindi Rais akihitaji kupata kiongozi?

ESCORT 1

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2015
Posts
1,412
Reaction score
3,043
Ni akina nani wanahusika na suala la kufanya vetting?

Rais anateua mtu ndani ya muda mchache anamtengua, mara kadhaa makosa haya yanajirudia. Rais anapewa mtu ambaye sio sahihi.

DC wa Sumbawanga alifanyiwa vetting? Diwani Athumani alipotolewa Idarani na kupelekwa Katibu Mkuu Ikulu uteuzi ukatenguliwa ndani ya muda mfupi, DGIS Masorro miezi 7 ofisini tayari ametenguliwa, mifano ni mingi.

Ni wapi wanapokosea watu wa vetting?

===

Pia soma:
- Swali muhimu: Anayefanya Uteuzi ni Rais Samia au Idara ya Usalama wa Taifa?
- Jenerali Ulimwengu: Siyo kila anayetangazwa kateuliwa na Rais, wengine ni Wateule wa "Influencers" Rais anaweka saini tu!
-
 
Ni akina nani wanahusika na suala la kufanya vetting?

Rais anateua mtu ndani ya muda mchache anamtengua, mara kadhaa makosa haya yanajirudia. Rais anapewa mtu ambaye sio sahihi.

DC wa Sumbawanga alifanyiwa vetting? Diwani Athumani alipotolewa Idarani na kupelekwa Katibu Mkuu Ikulu uteuzi ukatenguliwa ndani ya muda mfupi.
DGIS Masorro miezi 7 ofisini tayari ametenguliwa. Mifano ni mingi

Ni wapi wanapokosea watu wa vetting?
Angalia ma DED wote ni makada, so tuseme wanaofanya vetting ni CCM.
 
Ni akina nani wanahusika na suala la kufanya vetting?

Rais anateua mtu ndani ya muda mchache anamtengua, mara kadhaa makosa haya yanajirudia. Rais anapewa mtu ambaye sio sahihi.

DC wa Sumbawanga alifanyiwa vetting? Diwani Athumani alipotolewa Idarani na kupelekwa Katibu Mkuu Ikulu uteuzi ukatenguliwa ndani ya muda mfupi.
DGIS Masorro miezi 7 ofisini tayari ametenguliwa. Mifano ni mingi

Ni wapi wanapokosea watu wa vetting?
Wakina.......[emoji777]
Kina.............[emoji3581]
 
Ni akina nani wanahusika na suala la kufanya vetting?

Rais anateua mtu ndani ya muda mchache anamtengua, mara kadhaa makosa haya yanajirudia. Rais anapewa mtu ambaye sio sahihi.

DC wa Sumbawanga alifanyiwa vetting? Diwani Athumani alipotolewa Idarani na kupelekwa Katibu Mkuu Ikulu uteuzi ukatenguliwa ndani ya muda mfupi.
DGIS Masorro miezi 7 ofisini tayari ametenguliwa. Mifano ni mingi

Ni wapi wanapokosea watu wa vetting?
Vetting ya ndiyo Kila aliyeajiriwa lazima atoke
 
Ni akina nani wanahusika na suala la kufanya vetting?

Rais anateua mtu ndani ya muda mchache anamtengua, mara kadhaa makosa haya yanajirudia. Rais anapewa mtu ambaye sio sahihi.

DC wa Sumbawanga alifanyiwa vetting? Diwani Athumani alipotolewa Idarani na kupelekwa Katibu Mkuu Ikulu uteuzi ukatenguliwa ndani ya muda mfupi.
DGIS Masorro miezi 7 ofisini tayari ametenguliwa. Mifano ni mingi

Ni wapi wanapokosea watu wa vetting?
Mimi na wewe au
 
Ni akina nani wanahusika na suala la kufanya vetting?

Rais anateua mtu ndani ya muda mchache anamtengua, mara kadhaa makosa haya yanajirudia. Rais anapewa mtu ambaye sio sahihi.

DC wa Sumbawanga alifanyiwa vetting? Diwani Athumani alipotolewa Idarani na kupelekwa Katibu Mkuu Ikulu uteuzi ukatenguliwa ndani ya muda mfupi.
DGIS Masorro miezi 7 ofisini tayari ametenguliwa. Mifano ni mingi

Ni wapi wanapokosea watu wa vetting?
Kwa, CCM hii ya shangazi samia, ni, machawa tu, na hardliners wa CCM, hawaangalii weredi, kinachoangaliwa umesimama vipi ndani ya CCM,
 
Ni akina nani wanahusika na suala la kufanya vetting?

Rais anateua mtu ndani ya muda mchache anamtengua, mara kadhaa makosa haya yanajirudia. Rais anapewa mtu ambaye sio sahihi.

DC wa Sumbawanga alifanyiwa vetting? Diwani Athumani alipotolewa Idarani na kupelekwa Katibu Mkuu Ikulu uteuzi ukatenguliwa ndani ya muda mfupi, DGIS Masorro miezi 7 ofisini tayari ametenguliwa, mifano ni mingi.

Ni wapi wanapokosea watu wa vetting?
Tatizo ni CCM
 
Ni akina nani wanahusika na suala la kufanya vetting?

Rais anateua mtu ndani ya muda mchache anamtengua, mara kadhaa makosa haya yanajirudia. Rais anapewa mtu ambaye sio sahihi.

DC wa Sumbawanga alifanyiwa vetting? Diwani Athumani alipotolewa Idarani na kupelekwa Katibu Mkuu Ikulu uteuzi ukatenguliwa ndani ya muda mfupi, DGIS Masorro miezi 7 ofisini tayari ametenguliwa, mifano ni mingi.

Ni wapi wanapokosea watu wa vetting?
Hivi gari lililokatika Senta bolti linatembeaje barabarani ?
 
Ni akina nani wanahusika na suala la kufanya vetting?

Rais anateua mtu ndani ya muda mchache anamtengua, mara kadhaa makosa haya yanajirudia. Rais anapewa mtu ambaye sio sahihi.

DC wa Sumbawanga alifanyiwa vetting? Diwani Athumani alipotolewa Idarani na kupelekwa Katibu Mkuu Ikulu uteuzi ukatenguliwa ndani ya muda mfupi, DGIS Masorro miezi 7 ofisini tayari ametenguliwa, mifano ni mingi.

Ni wapi wanapokosea watu wa vetting?
Kibwengu mkuu
 
Ni akina nani wanahusika na suala la kufanya vetting?

Rais anateua mtu ndani ya muda mchache anamtengua, mara kadhaa makosa haya yanajirudia. Rais anapewa mtu ambaye sio sahihi.

DC wa Sumbawanga alifanyiwa vetting? Diwani Athumani alipotolewa Idarani na kupelekwa Katibu Mkuu Ikulu uteuzi ukatenguliwa ndani ya muda mfupi, DGIS Masorro miezi 7 ofisini tayari ametenguliwa, mifano ni mingi.

Ni wapi wanapokosea watu wa vetting?

"Vetting" siyo utendaji.
 
Back
Top Bottom