ESCORT 1
JF-Expert Member
- Dec 7, 2015
- 1,412
- 3,043
Ni akina nani wanahusika na suala la kufanya vetting?
Rais anateua mtu ndani ya muda mchache anamtengua, mara kadhaa makosa haya yanajirudia. Rais anapewa mtu ambaye sio sahihi.
DC wa Sumbawanga alifanyiwa vetting? Diwani Athumani alipotolewa Idarani na kupelekwa Katibu Mkuu Ikulu uteuzi ukatenguliwa ndani ya muda mfupi, DGIS Masorro miezi 7 ofisini tayari ametenguliwa, mifano ni mingi.
Ni wapi wanapokosea watu wa vetting?
===
Pia soma:
- Swali muhimu: Anayefanya Uteuzi ni Rais Samia au Idara ya Usalama wa Taifa?
- Jenerali Ulimwengu: Siyo kila anayetangazwa kateuliwa na Rais, wengine ni Wateule wa "Influencers" Rais anaweka saini tu!
-
Rais anateua mtu ndani ya muda mchache anamtengua, mara kadhaa makosa haya yanajirudia. Rais anapewa mtu ambaye sio sahihi.
DC wa Sumbawanga alifanyiwa vetting? Diwani Athumani alipotolewa Idarani na kupelekwa Katibu Mkuu Ikulu uteuzi ukatenguliwa ndani ya muda mfupi, DGIS Masorro miezi 7 ofisini tayari ametenguliwa, mifano ni mingi.
Ni wapi wanapokosea watu wa vetting?
===
Pia soma:
- Swali muhimu: Anayefanya Uteuzi ni Rais Samia au Idara ya Usalama wa Taifa?
- Jenerali Ulimwengu: Siyo kila anayetangazwa kateuliwa na Rais, wengine ni Wateule wa "Influencers" Rais anaweka saini tu!
-