Nani hupiga kura kumchagua Mwenyekiti wa CHADEMA? Wajumbe wanatokana na nini?

Nani hupiga kura kumchagua Mwenyekiti wa CHADEMA? Wajumbe wanatokana na nini?

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Najua hili swali ntakuwa sijiulizi peke yangu najua tuko wengi tunaojiuliza!

Sote tunajua Rais wa nchi anachaguliwa na wananchi wote as far as wamefikisha vigezo vinavyostahiki.

Nataka nijue nani hasa humchagua Mwenyekiti wa CHADEMA.

Mchakato wao wa uchaguzi ukoje?

Je, ni mtu yeyote ambaye ana kadi ACTIVE ya CHADEMA? Kwamba hata Sativa anaweza kuamka kwenda kupiga kura?

Au kuna wajumbe maalum ambao huchaguliwa kwa ajili ya kumpigia kura mwenyekiti?

Kama kuna wajumbe, nani huchagua hao wajumbe na mchakato wa kuwapata hao wajumbe ukoje?

=====================

Nakaribisha watu wenye ujuvi kuhusu swali Waje kunitoa tongotongo nawasilisha


IMG_0014.jpeg
 
Wakuu,

Najua hili swali ntakuwa sijiulizi peke yangu najua tuko wengi tunaojiuliza!

Sote tunajua Rais wa nchi anachaguliwa na wananchi wote as far as wamefikisha vigezo vinavyostahiki.

Nataka nijue nani hasa humchagua Mwenyekiti wa CHADEMA.

Mchakato wao wa uchaguzi ukoje?

Je ni mtu yeyote ambaye ana kadi ACTIVE ya CHADEMA? Kwamba hata Sativa anaweza kuamka kwenda kupiga kura?

Au kuna wajumbe maalum ambao huchaguliwa kwa ajili ya kumpigia kura mwenyekiti?



Kama kuna wajumbe, nani huchagua hao wajumbe na mchakato wa kuwapata hao wajumbe ukoje?



=====================

Nakaribisha watu wenye ujuvi kuhusu swali Waje kunitoa tongotongo nawasilisha


View attachment 3183164
Watu mbona mmekwepa swali
 
Wakuu,

Najua hili swali ntakuwa sijiulizi peke yangu najua tuko wengi tunaojiuliza!

Sote tunajua Rais wa nchi anachaguliwa na wananchi wote as far as wamefikisha vigezo vinavyostahiki.

Nataka nijue nani hasa humchagua Mwenyekiti wa CHADEMA.

Mchakato wao wa uchaguzi ukoje?

Je ni mtu yeyote ambaye ana kadi ACTIVE ya CHADEMA? Kwamba hata Sativa anaweza kuamka kwenda kupiga kura?

Au kuna wajumbe maalum ambao huchaguliwa kwa ajili ya kumpigia kura mwenyekiti?



Kama kuna wajumbe, nani huchagua hao wajumbe na mchakato wa kuwapata hao wajumbe ukoje?



=====================

Nakaribisha watu wenye ujuvi kuhusu swali Waje kunitoa tongotongo nawasilisha


View attachment 3183164
wajumbe wa mkutano mkuu Taifa wa chadema wasiopungua 1000 na wasiozidi 1500 kutokea kila pembe ya Tanzania ndio watu maalumu wa kuamua kumchagua mwenyekiti wa chadema Taifa.

Hawa ni miongoni mwa viongozi wa ngazi na kamati mbalimbali za chama, walioainishwa kikatiba kuwa wajumbe wa mkutano mkuu wa Taifa wa chama.

Hii ni kumaanisha kwamba,
viongozi wa ngazi zote chadema na pengine vyama vingine vya siasa, hutoka na kuchaguana wao kwa wao kulingana na nafasi zao za uongozi kwenye chama.

wanachadema walio nje ya uongozi wa chama hawahisiki hata kidogo katika kumchagua mwenyekiti wa chadema Taifa.🐒
 
Wakuu,

Najua hili swali ntakuwa sijiulizi peke yangu najua tuko wengi tunaojiuliza!

Sote tunajua Rais wa nchi anachaguliwa na wananchi wote as far as wamefikisha vigezo vinavyostahiki.

Nataka nijue nani hasa humchagua Mwenyekiti wa CHADEMA.

Mchakato wao wa uchaguzi ukoje?

Je ni mtu yeyote ambaye ana kadi ACTIVE ya CHADEMA? Kwamba hata Sativa anaweza kuamka kwenda kupiga kura?

Au kuna wajumbe maalum ambao huchaguliwa kwa ajili ya kumpigia kura mwenyekiti?



Kama kuna wajumbe, nani huchagua hao wajumbe na mchakato wa kuwapata hao wajumbe ukoje?



=====================

Nakaribisha watu wenye ujuvi kuhusu swali Waje kunitoa tongotongo nawasilisha


View attachment 3183164
Hoja nzuri sana!
 
Mi ninavyojua kila kata inachagua wajumbe, na hao wajumbe wanachaguliwa na wanachama wa chadema wa kawaida(akina sativa) wakazi wa kata husika, hao wajumbe ndio wanaochagua mwenyekiti taifa
 
Hahahahahaha, wanaharakati bhana , wanaamini hivo, lisu akishinda tuu ikulu hii hapa
Wanaharakati kama motivational speakers. Anakwambia ukifuga nyoka mia mbili na kila siku wanatoa sumu lita tano na kila lita moja ni shilingi milioni mbili na nusu. Kwa wiki ni milioni 17.5, kwa mwezi milioni 75 na kwa mwaka milioni 900! Ahahahahaha! Ianzishe sasa hiyo biashara! Ahahahahaha! Ndio hiyo ya wanaharakati na Lissu! Ahahahahaha!!!
 
Back
Top Bottom