Nani hupiga kura kumchagua Mwenyekiti wa CHADEMA? Wajumbe wanatokana na nini?

Nani hupiga kura kumchagua Mwenyekiti wa CHADEMA? Wajumbe wanatokana na nini?

Mi ninavyojua kila kata inachagua wajumbe, na hao wajumbe wanachaguliwa na wanachama wa chadema wa kawaida(akina sativa) wakazi wa kata husika, hao wajumbe ndio wanaochagua mwenyekiti taifa

Kwa hiyo kwa mfano mimi ni mwanachama wa CHADEMA nakaa kata ya Chato.

Maana yake mimi ndo naenda kupiga kura kumchagua mjumbe kutoka kwenye kata yangu, ambaye ndo ataenda kumchagua Mwenyekiti?

NI hivyo mkuu au mimi ndo nimeelewa haraka?
 
Wajumbe hawa huchaguliwa na wanachi wa vijiji husika, ni wajumbe wa halmashauri ya vijiji, ambao walipatikana juzi kati kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa. Jumla walikua 1222. Kama unakumbuka. Hao ndio wapiga kura za kuchagua mwenyekiti

Mkuu hapo nimekusoma asante kwa ufafanuzi.

Nina swali tena kidogo ili nielewe zaidi kama hutojali.

Ina maana wana CHADEMA tuseme wa kijiji A wanafanya ka uchaguzi kadogo kumpata huyo mjumbe au utaratibu wa kuwa pata hao wajumbe unakuwaje mkuu?

Au ni kwamba wale viongozi wote wa serikali za mitaa kutoka CHADEMA ndio wanaenda kama wajumbe automatically?
 
Ngoja tusubiri wengine, mimi nikijibu nitatukanwa, sitaki hayo mambo

Karibu mkuu utujuze.

Maneno ya vijana wa UVCCM yasikusumbue.

Nimeambiwa wajumbe ni viongozi wa CHADEMA kutoka kwenye level za chini kabisa kama mitaa na vijiji NA kuendelea.


Nilikuwa natamani kujua hao wajumbe wanachaguliwa kwa mfumo mpaka kwenda kupiga kura
 
Mkuu hapo nimekusoma asante kwa ufafanuzi.

Nina swali tena kidogo ili nielewe zaidi kama hutojali.

Ina maana wana CHADEMA tuseme wa kijiji A wanafanya ka uchaguzi kadogo kumpata huyo mjumbe au utaratibu wa kuwa pata hao wajumbe unakuwaje mkuu?

Au ni kwamba wale viongozi wote wa serikali za mitaa kutoka CHADEMA ndio wanaenda kama wajumbe automatically?
Nadhani umesikia zile tetesi watu watatumiwa nauli kuja kupiga kura. Wajitokeze wengi. And mind it chadema ni wachache just 1300. Hivo wanavutika na kumbi nyingi zinaweza kuaccomodate idadi hyo. Hivo watakuja.

Nikukumbushe labda kama hujawahi kuwa makini. Huwa Ccm wanawaalika wajumbe kutoka mahala tofauti unakuta wamekaa kimakundi wamebeba mabango, mfano kundi hili limeandikwa njombe vijijini, huku ilala, mara temeke. Hivo ndio huwa inavyokuwa so, hopefully hawa wote wa chadema wataitwa sehemu moja wapige kura.
Unajua wajumbe ni watu muhimu kwenye ukuaji wa chama, hata mitahani humu wana msaada mkubwa, hivo uwezekano wa wote kufikishwa mahala flani ni rahisi. Ndio maana vyama hupewa ruzuku, hupewa misaada, kwaajili ya haki na uhuru wa kuendesha chama na siasa zake.
 
Karibu mkuu utujuze.

Maneno ya vijana wa UVCCM yasikusumbue.

Nimeambiwa wajumbe ni viongozi wa CHADEMA kutoka kwenye level za chini kabisa kama mitaa na vijiji NA kuendelea.


Nilikuwa natamani kujua hao wajumbe wanachaguliwa kwa mfumo mpaka kwenda kupiga kura
Hivi hadi sasahivi kukueleza kote hujajua wajumbe wanavyochaguliwa, huwa ushiriki chaguzi za serikali za mitaa?
Huwa hutumii wajumbe kupata barua za utambulisho, hujui wanachaguliwaje wale.?
 
Chama cha Demokrasia hakina Demokrasia. Takataka kabisa
20241224_013303.jpg
 
Hawa wajumbe mpaka sasa wanachezea life time opportunity 'Ubilionea' maana hela nje nje
 
Hawa wajumbe mpaka sasa wanachezea life time opportunity 'Ubilionea' maana hela nje nje
Mkono mtupu haulambwi!! Jitu linalea mtumbo mkubwa linapiga porojo huku wenzie wakipambana angalau mkutano ufanyike!!

Lissu ni hovyo sana!
 
Back
Top Bottom