Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...Hakuna anayeumia bana kila mmoja ana-alternative means ya kujikomboa.....:hand::hand:mens ndo wanaumia sana.
Habari lenu bana?
Hivi nani huwa anaumia pindi anapokosa unyumba muda mrefu kwenye ndoa, ni baba au mama???
Hebu tupeane uzoefu!
mwanaume siku zote ndio anaumia!
basi ataruka majivu na kutua kwenye moto....!Anaruka vyote
:confused2:...Hakuna anayeumia bana kila mmoja ana-alternative means ya kujikomboa.....:hand::hand:
Nani zaidi?anaumia baba na mama
Sajenti i hope utakuwa wewe ni men, misuli ya naniliu ikishakaza then demu akuambie no, si unaumia mwili na nafisi!!!?...Hakuna anayeumia bana kila mmoja ana-alternative means ya kujikomboa.....:hand::hand:
Are you he/she?
:A S 13😀uh maswali Mengine bana siyaelewi kabisa! Sasa ukishajua anayeumia utafanyaje wewe kama mtoto? utaenda kumtafutia wa kufanya naye ili asiumie au utamuombea msamaha kwa baba/mama ili ampe mwenzake anayeumia???????? kiruuuuuuuuuuuuuu!!!!!!!!!!!1
...Hakuna anayeumia bana kila mmoja ana-alternative means ya kujikomboa.....:hand::hand:
Halafu huyo mtoto kwenye avatar yako hana adabu kabisa, anatamani vya wakubwa!!!asubiri akue
nafikiri hatukuelewa swali. alikuwa anamaanisha kwamba kati ya baba au mama nani anaweza kuhimili kukaa muda mrefu bila kupata tendo la ndoa? mama anaweza kukaa kuliko mwanaume. kwa hiyo tukija kwenye swali lenyewe kama baba akiwa ameshajiandaa kuendesha baiskeli halafu akatoswa anaumia sana kuliko mama angekuwa amejikoki kupanda baiskeli akatoswa.
wanaume wanaumia zaidi.
nafikiri hatukuelewa swali. alikuwa anamaanisha kwamba kati ya baba au mama nani anaweza kuhimili kukaa muda mrefu bila kupata tendo la ndoa? mama anaweza kukaa kuliko mwanaume. kwa hiyo tukija kwenye swali lenyewe kama baba akiwa ameshajiandaa kuendesha baiskeli halafu akatoswa anaumia sana kuliko mama angekuwa amejikoki kupanda baiskeli akatoswa.
wanaume wanaumia zaidi.
mens ndo wanaumia sana.