NANI HUYOOO????

NANI HUYOOO????

Uhuru24

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2015
Posts
4,112
Reaction score
4,361
fb83c9fd90d0719e0d4b23182c5ebc6a.jpg
 
ANAMEGWA NA ………VILE………
 
Huyu mtoto salama jabir ana nyodo za kufa mtu.Nikapataga namba yake bwana, si nikampigia? Wee bwana wee! Ile kusikia sauti ya kiume asiyoifahamu akaanza kwa ukali: 'Nyoko gani wewe unanipigia simu namba yangu kakupa nani?
Nikajishusha kuwa mpole na kumwambia:Kwani ni kitu kibaya kupigiwa simu dada? Huo msonyo alioutoa sitaka niusahau. Nilikata simu nikasema huyu ni wa kuonana naye uso kwa uso nimwimbishe.Huyu mtoto ananivutia sana swaga zake.Sijapata nafasi ya kukutana naye
 
Huyu mtoto salama jabir ana nyodo za kufa mtu.Nikapataga namba yake bwana, si nikampigia? Wee bwana wee! Ile kusikia sauti ya kiume asiyoifahamu akaanza kwa ukali: 'Nyoko gani wewe unanipigia simu namba yangu kakupa nani?
Nikajishusha kuwa mpole na kumwambia:Kwani ni kitu kibaya kupigiwa simu dada? Huo msonyo alioutoa sitaka niusahau. Nilikata simu nikasema huyu ni wa kuonana naye uso kwa uso nimwimbishe.Huyu mtoto ananivutia sana swaga zake.Sijapata nafasi ya kukutana naye
Hahahaha
 
Hivi huyu binti anapuliza cha arusha eenh? Maana hasomeki kabisa
 
Dah! nakumbuka siku nimemuingiza kunako faragha, alinisumbua kumvua balaha lakini nilipomjulia akaregea nikamchojoa, nikammega ila sio mtamu kivileee.
 
Back
Top Bottom