muoga wa jf
Senior Member
- Jun 27, 2016
- 198
- 224
Habari wakuu...
Katika maisha yangu ya jf mtu nimekuwa nikimpenda sana wa kwanza kabisa ni joseverist(sijui nimekosea) napenda kumhta muuza mitumba wa boma
Mtu ambaye nimekuwa simpend jamaa mmja anajiiita USHIMEN..kuna siku moja alikuwa analeta busara kwenye mambo yasiyomhusu simpendi hadi leo..
Hivi mwana jf gani unampenda na nani umpendi toa SABABU??
Katika maisha yangu ya jf mtu nimekuwa nikimpenda sana wa kwanza kabisa ni joseverist(sijui nimekosea) napenda kumhta muuza mitumba wa boma
Mtu ambaye nimekuwa simpend jamaa mmja anajiiita USHIMEN..kuna siku moja alikuwa analeta busara kwenye mambo yasiyomhusu simpendi hadi leo..
Hivi mwana jf gani unampenda na nani umpendi toa SABABU??