Nani kafanyiwa Massage na hawa wanawake wa kileo?

Sio kila kitu serikal ikataze jaman..dah

Nchi inakua haina hata ladha.
 
Mkuu nipe location. Juzi kati hapo nimepewa massage kwa watoa huduma fulani hapo. Sikuona maajabu aisee. Kwanza vudada vwenyewe uchovu. I sent enjoy nipe location I might become your local client.
Location ni Uhindini karibu na Chef Asili mkuu.
Ila ni sehemu ambako huwezi kuiona mpaka mwenyeji wa pale akuelekeze.
Huwa tunatoa huduma aitakayo na aipendayo mteja.
Na vilevike tunatoa huduma ya 'Dady care'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…