Nani kafanyiwa Massage na hawa wanawake wa kileo?

Nani kafanyiwa Massage na hawa wanawake wa kileo?

Usalama ukoje ?
Mambo mengine ni kutafuta mikosi tu kwenye maisha
Mkuu mikosi haikwepeki. Unaweza kuipata popote mfano kwenye daladala unakaa siti moja kahaba limetoka kugegedwa, unakaa siti moja na Sangoma, unakaa siti moja na mchawi.

Au mwenza wako alidate ama anadate na mlozi, mwizi ama mwenye mapepo.

Unaingia dukani kwa mkinga ama mangi nje kaweka ndondocha. Vyoote hivyo vinaleta mikosi.

Na mwisho waweza kuwa umeoa/umeolewa na mtu aliyeachiwa uchawi na bibi/babu zake kwa njia ya tambiko ama manuizo tu bila ya yeye kujua.
 
Saloon yangu inatoa hiyo huduma.
Karibu Dodoma tukuhudumie mkuu.
Massage za kila angle.... na utachagua muhudumu kwa sura na shape utakayehitaji akuhudumie.
Asante.
Mkuu nipe location. Juzi kati hapo nimepewa massage kwa watoa huduma fulani hapo. Sikuona maajabu aisee. Kwanza vudada vwenyewe uchovu. I sent enjoy nipe location I might become your local client.
 
Kwa maelezo hayo ,hizo massage houses nyingi kwa ajili ya biashara ya ukahaba.Halafu serikali imemute kabisa , ni kazi za uzalilishaji wa dada zetu,sina uhakika kama wale wahudumu wanafanya zile extra service za kishenzi wilingly,zaidi tu ni sawa na biashara za utumikishaji wa kingono ikiwa unataka massage sahihi fanyiwa na your same sex au your spouse
 
Jamani Nani Mwenye Experience ya Kufanyiwa Massage na Hawa Wadada au Kampuni wanaopost Kwenye social Network....

Bei zao zikoje na Je Kuna Vitu vya ziada zaidi ya Massage?
Yale ni madanguro kwa mwamvuli wa massage centers!Bei ziko mbili
1. Massage full body au massage baadhi ya sehemu za mwili ... Hizi bei zake unazikuta mapokezi
2. Bei ya mfanya massage kama ukimdondokea. Hii ni bei kificho na hsihusiani na bei za mapokezi
 
Back
Top Bottom