Blaki Womani
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 11,229
- 13,442
Pole sana mkuu,Naamini ww ndio uliona situeshen zote,
Ni kwa namna gani zimekuumiza au zilikuwaje ili kushawishika km ni kaka zake kweli au magumashi ww ndio unafaham,
Thamani na uchungu wake kwako unaujua ww,na hata nafasi gani anayo moyon mwako mpaka sasa unaijua ww,
Cha kukushauri usikilize moyo wako unataka nn,je uko tayari kufanya maamuzi ya kumwacha au unahisi unauwezo wa kumpa nafasi ya kujirekebisha na mkaendelea!
Maadamu huna uhakika km anatoka nao au ni ameshawishika tu kutoka nao km ulivyoona na sio km kazini nakushauri mpe nafasi kwan km ni tabia yake atarudia tu.
Na km unaamua kumwacha je ww ni msafi kiasi gani?na je unauhakika utakayempata atakuwaje?
Nakushauri ongea naye kwanza sikiliza maelezo yake,fanyia uchunguzi hao watu aliokuwa nao,ndio ufanye maamuzi usikurupuke.
Pamoja mamito,Good advice umetoa sista.... Follow ur heart kwanza then mengine yatafuata.
Samehe mara sabini msonge mbele na maisha. Ukiamua kumuacha utaacha wangapi?
Hakuna Mama Watoto Mtarajiwa hapo. Huyo ana watu wa aina yake anaotoka na ataoendelea kutoka nao kama ulivyojionea. Hata ukimweka ndani utaendela kuibiwa. Tafakari, Chukua Hatua.
Kuna ubaya gani akimsaidia hiyo ada kama uwezo anao? Kulipa kwa kujitutumua wakati uwezo haupo ndio mbaya.jaman ww aendelee kumlipia????? walahiii usiendelee im sure ulifanya ivyo kwa ajil ya viliinterest vyako ambavyo mwenzio anavichukulia poa wala mkache kwa kila ki2 uyoo. kuna wanawake wa kusaidiwa bt sio huyuu kbs.
hiki ni kidemu cha mizinga 2.
Nyani, ungekuwa ni wewe ungesamehe kweli?
Maana haya maandiko wakati fulani ni rahisi kuya-apply kwa watu wengine tuu. Vipi kama akisamehe Ukimwi je, nao utamsamehe?
Samehe mara sabini msonge mbele na maisha. Ukiamua kumuacha utaacha wangapi?
mkuu wewe ndio umetoa ushauri mzuri sana,mtoa mada chuUmejionea kwa macho yako mwenyewe! Moyo wako unasemaje?
Mimi ningekuwa wewe ningefurahi maana nimejionea mwenyewe!
Pamoja na kwamba unampenda na kumhudumia ni bora umuache kabla hajankuumiza zaidi na kukuambukiza magonjwa. Hakufai