Pole sana mkuu,Naamini ww ndio uliona situeshen zote,
Ni kwa namna gani zimekuumiza au zilikuwaje ili kushawishika km ni kaka zake kweli au magumashi ww ndio unafaham,
Thamani na uchungu wake kwako unaujua ww,na hata nafasi gani anayo moyon mwako mpaka sasa unaijua ww,
Cha kukushauri usikilize moyo wako unataka nn,je uko tayari kufanya maamuzi ya kumwacha au unahisi unauwezo wa kumpa nafasi ya kujirekebisha na mkaendelea!
Maadamu huna uhakika km anatoka nao au ni ameshawishika tu kutoka nao km ulivyoona na sio km kazini nakushauri mpe nafasi kwan km ni tabia yake atarudia tu.
Na km unaamua kumwacha je ww ni msafi kiasi gani?na je unauhakika utakayempata atakuwaje?
Nakushauri ongea naye kwanza sikiliza maelezo yake,fanyia uchunguzi hao watu aliokuwa nao,ndio ufanye maamuzi usikurupuke.