na huo unafiki ndo unaharibu mziki wetu.For sure, wabongo wanafiki sanaa sisi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na huo unafiki ndo unaharibu mziki wetu.For sure, wabongo wanafiki sanaa sisi.
Naunga mkono hoja ..ni wanafiki haswaa ..hapo wametoa mawazo nyimbo ingefanywa kama ngoma flan ili iwe kali ..naamin ingefanywa kama hio ngoma bhc wangesema jamaa kaiga sio mbunifuFor sure, wabongo wanafiki sanaa sisi.
Itakusaidia nini maishani mwako?Binafsi ngoma ilikuwa ni kali sana. Sema kuna vimakosa vidogo vidogo vimeifanya ngoma kuwa ya kawaida.
Mimi sio mtu wa Music sana, ila haya ni baadhi ya makosa yangu niliyoyabaini..
Kosa la kwanza, Harmonize amezingua kufanya chorus ile ilee. Angeibadiri kidogo nadhani ingekiwa poa zaidi.
Kosa la pili, Chorus kurudiwa rudiwa kila bda ya Verse. Hii imefanya ngoma kuwa ndefu pasipo sababu za msingi..
Kosa la3, ni kosa la producer. Bit haikutakiwa ichangamke vile. Ngoma za Hiphop zenye vichwa vingi huwa zinapendezea kama Bit ikiwa slow flani hivi. Skiliza Deuces Remix ile yenye Drake. Kanye. Fabolous. T. I Rick Rosay.. nk ama skiliza ile Remix ya Tell ya Friend ya Bishow The Weekend. Utapenda mwenyewe..
Mwisho..
Pongeza kwa Baghdad kwa kuwameza wote.
Jamaa angepata bit iliyo slow nadhani angewafunika hapa na Mbinguni na kurudi..
😅kwamba nyama zimeondola na mistari??Bagdad. Ila jamaa alipokua bonge alikua na flow hatari.
Sure mzee!na huo unafiki ndo unaharibu mziki wetu.
nini kifanyikeKiukweli ni remix mbovu
ukiachana na ukali wa wasanii waliomo mule ndani ni msanii mmoja tu alliyefanya vizuri
in short ngoma imekuwa mbovu pamoja na bagia dady kufanya vyema
Si mnawaitaga viooo vya jamii hao wasanii wenuSIKU HIZI NYIMBO ZIMEJAA MITUSI MPAKA UNAPATA MASHAKA NA UTIMAMU WA AKILI ZA ALIYEIMBA!
kilichifanyikanini kifanyike
chumbani tunafanya ngono ambacho ndicho alichoimba huyoPia mwingine aliyezngua badala ya kuimba mapenzi anaimba ngono ni billnas
So negative b@chKiukweli ni remix mbovu
ukiachana na ukali wa wasanii waliomo mule ndani ni msanii mmoja tu alliyefanya vizuri
in short ngoma imekuwa mbovu pamoja na bagia dady kufanya vyema