Nani kafunika, nani kachemka kwenye remix ya Bedroom

Nani kafunika, nani kachemka kwenye remix ya Bedroom

Binafsi ngoma ilikuwa ni kali sana. Sema kuna vimakosa vidogo vidogo vimeifanya ngoma kuwa ya kawaida.
Mimi sio mtu wa Music sana, ila haya ni baadhi ya makosa yangu niliyoyabaini..

Kosa la kwanza, Harmonize amezingua kufanya chorus ile ilee. Angeibadiri kidogo nadhani ingekiwa poa zaidi.

Kosa la pili, Chorus kurudiwa rudiwa kila bda ya Verse. Hii imefanya ngoma kuwa ndefu pasipo sababu za msingi..

Kosa la3, ni kosa la producer. Bit haikutakiwa ichangamke vile. Ngoma za Hiphop zenye vichwa vingi huwa zinapendezea kama Bit ikiwa slow flani hivi. Skiliza Deuces Remix ile yenye Drake. Kanye. Fabolous. T. I Rick Rosay.. nk ama skiliza ile Remix ya Tell ya Friend ya Bishow The Weekend. Utapenda mwenyewe..

Mwisho..

Pongeza kwa Baghdad kwa kuwameza wote.
Jamaa angepata bit iliyo slow nadhani angewafunika hapa na Mbinguni na kurudi..
Itakusaidia nini maishani mwako?
 
Kiukweli ni remix mbovu
ukiachana na ukali wa wasanii waliomo mule ndani ni msanii mmoja tu alliyefanya vizuri
in short ngoma imekuwa mbovu pamoja na bagia dady kufanya vyema
 
Angetoa video ya Rhumba au Nakupenda Malaika zingempromoti kimataifa na mziki wake ungesafiri nchi nyingi ila hii RMX naona imeharibu uzuri wa OG.
 
Rosalee kafanya poa japo mi namskia ‘Minaj’ zaidi, Mayonaise kachemka machorous mengi.
 
1.Baghdad
2. Darasa
3. Salmin swaggz
4. Billnass
5. Rosa
hao wapuuzi waliobaki wamezingua.
sijui nani alimpa crown ya u young king huyo clown mbuzi. Verse nzima hakuna punchline hata moja m.mae!
 
Kiukweli ni remix mbovu
ukiachana na ukali wa wasanii waliomo mule ndani ni msanii mmoja tu alliyefanya vizuri
in short ngoma imekuwa mbovu pamoja na bagia dady kufanya vyema
So negative b@ch
Unaweza tazama moto ukajizima
 
Binafsi naona Darasa ndiye kafanya poa. Yaani modern hip hop ndiyo iko vile kwenye ile verse nilifikiri Country Boy na Young Lunya wangemletea upinzani badala yake imekua rahisi kujua kua Darasa ni mkare.
 
Back
Top Bottom