Nani Kairudisha CT Security, UDART (MwendoKasi)?

Nani Kairudisha CT Security, UDART (MwendoKasi)?

JAYJAY

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2008
Posts
8,191
Reaction score
8,490
Hii kampuni iliwahi kuhudumu kwenye mradi wa Mwendokasi kipindi fulani na baadae kupewa kazi hiyo Suma JKT. Sasa inaonekana kampuni hiyo imerudi tena ulingoni.

1. Je, nini kilifanya iondolewe mwanzo na sasa kurudishwa?

2. Ina maslahi gani na kampuni ya UDART? Au mmiliki/wamiliki wake ni nani?

3. Jana Jumanne gari yao ilikuwa inatumiwa na askari wa manispaa ya ilala wale wanaokamata machinga, je, manispaa imetoa tenda kufanya kazi hiyo!?
 
Ongeza na hili wazo.
Labda kuna namna tenda za namna fulani zinarudishwa kwenye jamii..
Ofisi flani za serikali, 2020 walitoa tenda ya usafi (jamani hadi usafi) kutoka private kwenda Suma jkt, mwaka huu katikati wakairudisha kwenye kampuni binafsi.
 
Ongeza na hili wazo.
Labda kuna namna tenda za namna fulani zinarudishwa kwenye jamii..
Ofisi flani za serikali, 2020 walitoa tenda ya usafi (usafi) kutoka private kwenda Suma jkt, mwaka huu katikati wakairudisha kwenye kampuni binafsi.
Kwani kuna tatizo gani kuwapa tenda kampuni binafsi?? hili ni soko huria na soko huria huongeza ubora wa bidhaa/huduma na kuleta ushindi kwa mlaji au mtumiaji wa hiyo huduma.

Acheni kukalili mambo aliyokuwa mabaya aliyoyafanya Mwendazake kwa kuua sector binafsi!! acheni SUMA JKT wapambane kwenye tenda mbalimbali kama wanavyofanya wengine.
 
Hii kampuni iliwahi kuhudumu kwenye mradi wa Mwendokasi kipindi fulani na baadae kupewa kazi hiyo Suma JKT. Sasa inaonekana kampuni hiyo imerudi tena ulingoni.

1. Je, nini kilifanya iondolewe mwanzo na sasa kurudishwa?

2. Ina maslahi gani na kampuni ya UDART? Au mmiliki/wamiliki wake ni nani?

3. Jana Jumanne gari yao ilikuwa inatumiwa na askari wa manispaa ya ilala wale wanaokamata machinga, je, manispaa imetoa tenda kufanya kazi hiyo!?
Mjini mipango
 
Kwani kuna tatizo gani kuwapa tenda kampuni binafsi?? hili ni soko huria na soko huria huongeza ubora wa bidhaa/huduma na kuleta ushindi kwa mlaji au mtumiaji wa hiyo huduma.

Acheni kukalili mambo aliyokuwa mabaya aliyoyafanya Mwendazake kwa kuua sector binafsi!! acheni SUMA JKT wapambane kwenye tenda mbalimbali kama wanavyofanya wengine.
Sasa kama Suma JKT walishashinda tender mbona wameondolewa?
 
Kwani kuna tatizo gani kuwapa tenda kampuni binafsi?? hili ni soko huria na soko huria huongeza ubora wa bidhaa/huduma na kuleta ushindi kwa mlaji au mtumiaji wa hiyo huduma.

Acheni kukalili mambo aliyokuwa mabaya aliyoyafanya Mwendazake kwa kuua sector binafsi!! acheni SUMA JKT wapambane kwenye tenda mbalimbali kama wanavyofanya wengine.
Natamani nikujibu sambamba na ulivyoandika ila kwasababu mimi sio kama wewe, nitakushauri usome kwa akili (kama unayo) nilichoandika. Huu uvumilivu wangu unaukomo.

Hauzuiliwi kujibu hoja. Ila soma kuelewa, usisome kujibu.
 
Ongeza na hili wazo.
Labda kuna namna tenda za namna fulani zinarudishwa kwenye jamii..
Ofisi flani za serikali, 2020 walitoa tenda ya usafi (usafi) kutoka private kwenda Suma jkt, mwaka huu katikati wakairudisha kwenye kampuni binafsi.
Inabidi wapambane kurudisha fursa na tenda nyingi kwa ajili ya ustawi wa private sector.
Hii itashawishi vijana wengi kujiongeza....
 
Sawa kabisa!!

Hapo awali; Usafi SUMA JKT, Ulinzi SUMA JKT, Ujenzi SUMA JKT!!

Why kila kitu ilikuwa SUMA JKT??

We need changes for the well being of our economy.
Mungu alipambana akatutoa kule... Tulikuwa pabaya sana! Sasa ni jukumu letu kulazimisha ustawi wa private sector.
 
Wanaondolewa washamba (suma JKT) wanaingizwa wa-mjini 10%
 
Back
Top Bottom