Mimi napinga kwa nguvu zote wazo la kutumia taasisi za serikali (SUMA JKT) kwa kazi ambazo private sekta wanatakiwa kuzifanya. Hivi mnataka private sekta watanzania wengine waishije wakati daily mnasema watu wajiajiri?? Yaani mnapora wenzenu hata kazi za kufagia maofisi ili wakale wapi nyie??Ongeza na hili wazo.
Labda kuna namna tenda za namna fulani zinarudishwa kwenye jamii..
Ofisi flani za serikali, 2020 walitoa tenda ya usafi (usafi) kutoka private kwenda Suma jkt, mwaka huu katikati wakairudisha kwenye kampuni binafsi.
[emoji1666][emoji1666][emoji1666]Kwani kuna tatizo gani kuwapa tenda kampuni binafsi?? hili ni soko huria na soko huria huongeza ubora wa bidhaa/huduma na kuleta ushindi kwa mlaji au mtumiaji wa hiyo huduma.
Acheni kukalili mambo aliyokuwa mabaya aliyoyafanya Mwendazake kwa kuua sector binafsi!! acheni SUMA JKT wapambane kwenye tenda mbalimbali kama wanavyofanya wengine.
Muda wao ulishaisha, waende wakalime huko makambini.Sasa kama Suma JKT walishashinda tender mbona wameondolewa?
Angalau wewe umeeleza hoja yako kistaarabu, ila nasikitika kua hujaelewa ulichokiquote. Katika kukujibu nitakurejesha usome post #8 kisha urudie kusoma post uliyoiquote, soma kwa kuelewa, usisome kujibu.Mimi napinga kwa nguvu zote wazo la kutumia taasisi za serikali (SUMA JKT) kwa kazi ambazo private sekta wanatakiwa kuzifanya. Hivi mnataka private sekta watanzania wengine waishije wakati daily mnasema watu wajiajiri?? Yaani mnapora wenzenu hata kazi za kufagia maofisi ili wakale wapi nyie??