habari wadau..
Naona mikia wamesahau point zao sita wamezipataje ?
mechi za away zote zimechezwa usiku mikia wakafungwa zote..
alivyo mpuuzi mechi yake na vita kaiweka tena usiku..
amesahau msaada wa jua la Dar kwa wageni linamlinda sana maana wamezoea kucheza usiku
kwa huo muda natabiri matokeo mikia 0 - As vita 5
Naona mikia wamesahau point zao sita wamezipataje ?
mechi za away zote zimechezwa usiku mikia wakafungwa zote..
alivyo mpuuzi mechi yake na vita kaiweka tena usiku..
amesahau msaada wa jua la Dar kwa wageni linamlinda sana maana wamezoea kucheza usiku
kwa huo muda natabiri matokeo mikia 0 - As vita 5