Kwani wacongo nao jua lingewaathiri? Hizi nadharia zinaukakasi. Au simba wanatumia miale ya jua kama Jadu wa Rotic Roshan?.
Barafu la moto
We zuzu ratiba wanapanga CUF mechi zichezwe usiku,simba wakicheza saa moja kule Misri pia mpira unachezwa saa moja ili kuepuka upangaji matokeo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ratiba ya CAF imeamua hivyo kuepuka upangaji wa matokeo, lakini kumbuka wacongo siyo waarabu hata mechi ichezwe uwanja wa kinesi watamudu tuhabari wadau..
Naona mikia wamesahau point zao sita wamezipataje ?
mechi za away zote zimechezwa usiku mikia wakafungwa zote..
alivyo mpuuzi mechi yake na vita kaiweka tena usiku..
amesahau msaada wa jua la Dar kwa wageni linamlinda sana maana wamezoea kucheza usiku
kwa huo muda natabiri matokeo mikia 0 - As vita 5
Safi! Ufafanuzi mzuri Sana huuHiyo Ni Ratiba ya CAF Mechi Za Mwisho Timu Za kundi Moja kucheza Pamoja kuepusha kupanga Matokeo japo kwa kundi la Simba Hata zingecheza Muda tofauti Hakuna kupanga Matokeo
Wewe tumeisha kuzoea, rejea maneno yako hasi yote dhidi ya simba huwa yanakuaje😂😂😂 Toa na hiyo Avatar yako ina nguo nyekunduAs vita hata muwapeleke kucheza. Kwenye mbigiri watawatugūa tu
Kila laķheri As Vita
mechi za mwisho hujiamulii.. siku 1 muda mmoja.ratiba za mwanzo walipanga Caf pia ? kundi zima la simba.. mechi zimechezwa mchana ni 2 tu za simba taifa..
wote waliobaki walicheza usiku mechi zao zote.. vita, soura, al ahly hakuna mechi waliyocheza mchana nje ya walivyokuja Tanzania
Tulia mpigwe watu wàmekuja ña vumbi la congo kwa jína lingine cha kupaka maalum kwa keshoWewe tumeisha kuzoea, rejea maneno yako hasi yote dhidi ya simba huwa yanakuaje[emoji23][emoji23][emoji23] Toa na hiyo Avatar yako ina nguo nyekundu
Sisi tuna ndele na mkono wa mtoto.Tulia mpigwe watu wàmekuja ña vumbi la congo kwa jína lingine cha kupaka maalum kwa kesho
Mkono wa mtoto na ndele viliwasàidiaje mlivýopigwa goli 5?Sisi tuna ndele na mkono wa mtoto.
na red card moja kwa timu ya NyumbaniHT Simba 0 As Vita 2