Nani kama mwana fa?hakuna!kitu classsic!

Nani kama mwana fa?hakuna!kitu classsic!

Hiyo picha mwanafatuma alikuwa hajaanza kushambulia jukwaa? Shame on, clouds wamekurostisha
 
Mtu yoyote anayejua haki zake na akiwa na ujasiri wa kutosha yuko tayari kuzipigania haki zake popote pale.
Haijalishi yeye ni maarufu, tajiri ama nani, bado atazipigania.

Hata Bill Gates mtu ambaye ni Tajiri sana, maarufu sana na mwenye mafanikio zaidi dunia mara kadhaa amekuwa akilalamia na kupigania haki za Company yake ya Microsoft popote pale zinapoguswa. Amefanya hayo kijamii na kisheria.

Hivyo Lady JD yuko sahihi kabisa katika hilo.

JD anapigania haki zipi? Na anapigania kwa minajili ipi? Kanyimwa na mtu hizo haki zake?
 
Ukweli utabaki palepale kwamba ,mwanaFA huwezi kumfananisha na huyo kanjanja!kwanza hana mkopo Bank kwamba akishindwa aje kufilisiwa,kama hamjui mali hizo alizonazo bibi si zake bado mpaka amalize madeni ya bank na hivi akaona nianzishe bifu ili nipate pesa za kurudisha Benk ukiangalia hiyo band ya machozi bendi ni kucha kugombana na wanamuziki wake kamuulizeni machozi yule kaka waliogombana naye,iyo mosi,pili ni kwamba mpaka sasa hakuna matamasha makubwa anayoalikwa si ya ndani au ya nje sasa akaona heee!ngoja nichanganye karatasi vizuri.haya sasa ngoja nianzishe kipindi cha diary ili walau nipatepate......camera mpaka chumbani......hee!niseme nina majini mahaba....watu watavutika tu kuangalia kweli amepatapata!....ushauri nafuu kwake arudi darasani kama BINAMU walau hata mambo yasipokwenda vizuri asije aibika,hakuna aibu kubwa kwa mtu ambaye alikuwa na majisifu akija filisika angalau mtu asiyejulikana inakuwaga kimyakimya! hawachelewi kutangaza mambo ya ajabu......that is secret I just wanted to share with you,that lady grandmother is totally broke!!!!
 
jd anapigania haki zipi? Na anapigania kwa minajili ipi? Kanyimwa na mtu hizo haki zake?
hayo maswali umewauliza sana lakini hawajibu which means hawajui walisemalo na mtu wanayemtetea hawamjui vizuri zaidi ya kumuona akiimba tu,ivi jamani radio ni moja hapa bongo mpaka moja isipopiga nyimbo zako uanze kusema maneno yoteee?oooh nikifa mimi wasije kunizika oooh mkiwaona mwapige mawe jamani kivipi kwani who are you by the way!!
 
hayo maswali umewauliza sana lakini hawajibu which means hawajui walisemalo na mtu wanayemtetea hawamjui vizuri zaidi ya kumuona akiimba tu,ivi jamani radio ni moja hapa bongo mpaka moja isipopiga nyimbo zako uanze kusema maneno yoteee?oooh nikifa mimi wasije kunizika oooh mkiwaona mwapige mawe jamani kivipi kwani who are you by the way!!

Hata hiyo ya kudai Clouds hawapigi nyimbo zake ilikuwa ni uongo maana mimi kwa masikio yangu, siku ile ambao aliusambaza ule waraka wake kesho yake tu nikasikia wanapiga Joto Hasira.

Na hata Ruge alilipangua hilo dai na kusema hadi kufikia siku ambayo anadai kuwa wao hawapigi nyimbo zake, Joto Hasira ilikuwa ishapigwa mara 48 na electronic records wanazo.

Sasa sielewi hawa wanaodai eti yeye anapigania haki zake, haki zake zipi anazozipigania? Mbona hakwenda mahakamani kuzipigania?
 
show kwenye lecture theatre?poor fa.jiunge na wanamziki wenzako walioelimika kina jide,sugu,prof j. Acha kutumiwa kama toilet paper

acheni izo ndugu zanguni si kweli mbona yeye na mumewe waliitumikia kwa kitambo tu iyo radio?ina mana na wao walikuwa wanatumika?mbona sasa ni kama mnamtusi hata yeye na familia yake.mi ningewaona wa maana kama mtakuwa mnaongea point kwa kutaja hasa alichotendewa tena kiwe cha kweli otherwise mtakuwa mnafanya tu siku iende basi,au shule ndogo jamani!tell us!
 
hiyo picha mwanafatuma alikuwa hajaanza kushambulia jukwaa? Shame on, clouds wamekurostisha

kuna picha nyingi za fa zinazotumwa humu ni za upotoshaji kwani haza wewe ulitaka nini?ukweli ni kwamba kama unvyojua wabongo muda huwa ni vigumu kupangilia pale ni wakati anaanza kusalimia mshabiki mapema sana tu,,,,,wewe angalia global walipost picha zake watu juu chini tena kwa elfu 50 lazima tumpongeze na ukizingatia kule alikoenda ilikuwa shart uwe na gali mana kurudi usiku kwa wapanda daladala ingekuwaje na ndo wengi wanaoumia humu kwa kukosa kwenda....basi watoto wazuri atafanya show nyingine manzese pale sokoni ndo utajua nani ni nani oyoooooooooooo!
 
tulikuwa tunasikiliza ujumbe kwa makini na kistaarabu! Halafu jua kule ni mitaa ya wenyewe karibu na ikulu fujofujo ili iweje?
Naomba nikumbushwe,mwanaefuei anafanya aina gani ya muziki vile,Utenzi,mashairi ghani ya kihindi au kichina ,nikumbusheni basi ambapo watu hawaitaji kumsindikiza katika sanaa yake?
Lakini kama bongo fleva aaaah lazima kuwe na ruksa ya kuimba na pia kuyumbayumba kinyume cha hapo hiyo shoo ni pooza!
 
Mwana FA akiwa lecture room makumbusho jana usiku akielezea kuhusu rasimu ya katiba.

kwikwikwikwikwikwikwikwikwikwikwikwikwiiiiiiiiiiiiiiiiiii, manina zenyuuuuuuuuuu ndio kumejaa hapo nyokonyok fyokofyoko, bado xamu ya rugee apande na yeye:car:
 
aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiibbbbbbbbbbbbbbbbbbbbuuuuuuuuuuuuuuu
 
tulikuwa tunasikiliza ujumbe kwa makini na kistaarabu! Halafu jua kule ni mitaa ya wenyewe karibu na ikulu fujofujo ili iweje?

Hivi wewe hufahamu watu wana vipato tofauti?hao unaoita sio wastaarabu mbona unaishi nao?pia mbona humu JF wapo na wewe hapa umo?maana kuna member wamekuambia walikuwepo kwenye show ya Jide and to u,waliokuwepo kwa show ya Jide ni watu flan sio wastaarabu n wasio na kipato kizuri (refer kutoa mfano wa kuvaa suti nk)mkuu acha uto.to, na dharau zako,una uhakika wewe una maisha mazuri sana kuliko members wote walioenda kwa show ya JD?hebu kua uache huu uto.to!
 
kuna picha humu ndani ndugu yangu.inaonyesha ukumbi ulikuwa ni chini na juu na kote watu walijaa.iyo picha imeposiwa na member kwenye hii thread.Halafu ndugu yangu ni kwamba ilikuwa burdani ya wastaarabu wavaa suti,sasa vituko na mayowe ulitaka yawe ya nini kwani pale mpirani.lazima ifike mahali tuwe wastaarabu halafu unavyosema haikufana si kweli,acheni wivu na huyo bibi yenu.

Nani kakwambia kwenye hisia kuna cha suti au msuli, that is emotions without restraint, ni internal feeling huwezi zuia eti kwa sababu ya msuli, taulo au suti, kila vazi lina namna ya kucheza ingawa muziki ni moja, hata hvyo kwenye hiyo picha angalia walovaa suti hapo, wapo wangapi? kawadangaye wajingaa wenzio show ya FA iliwadodea ndo maana hata leo kwenye power breakfast kina hando wamekaa kimya hawakuzungumzia hiyo show kwa sababu wanajua waamepigwa bakora, nenda kawadanganye wazembe wenzio hapa imekula kwa nyuma yako!
 
mleta thread kama sio demu wa ruge basi ni wa mwanaFA mwenyewe au wote wawili.post zake zimekaa kiumbea na kiwivu sana.
 
JD anapigania haki zipi? Na anapigania kwa minajili ipi? Kanyimwa na mtu hizo haki zake?

kawaulize walioenda mahakamani kumuwekea zuio asiongee...wanaenda mahakamani kumzuia nini mtu asiye na malalamiko ya msingi?
 
Ukweli utabaki palepale kwamba ,mwanaFA huwezi kumfananisha na huyo kanjanja!kwanza hana mkopo Bank kwamba akishindwa aje kufilisiwa,kama hamjui mali hizo alizonazo bibi si zake bado mpaka amalize madeni ya bank na hivi akaona nianzishe bifu ili nipate pesa za kurudisha Benk ukiangalia hiyo band ya machozi bendi ni kucha kugombana na wanamuziki wake kamuulizeni machozi yule kaka waliogombana naye,iyo mosi,pili ni kwamba mpaka sasa hakuna matamasha makubwa anayoalikwa si ya ndani au ya nje sasa akaona heee!ngoja nichanganye karatasi vizuri.haya sasa ngoja nianzishe kipindi cha diary ili walau nipatepate......camera mpaka chumbani......hee!niseme nina majini mahaba....watu watavutika tu kuangalia kweli amepatapata!....ushauri nafuu kwake arudi darasani kama BINAMU walau hata mambo yasipokwenda vizuri asije aibika,hakuna aibu kubwa kwa mtu ambaye alikuwa na majisifu akija filisika angalau mtu asiyejulikana inakuwaga kimyakimya! hawachelewi kutangaza mambo ya ajabu......that is secret I just wanted to share with you,that lady grandmother is totally broke!!!!

haya mwaya ru-gay mukahaba wife tumekuelewa shosti. Wewe mali zako zipi?
 
Mwana FA akiwa lecture room makumbusho jana usiku akielezea kuhusu rasimu ya katiba.

nimekupenda ahahhahaaaaa nisamehe nimeshindwa kbsaaaa kujizuia yaan umenifurahisha ulivyowasilisha nimejikuta nakupenda bureeee. Hii lacture ni ya mwalim asiyependwa yaan wanafunz wanaham kipind kiishe wasepe.
 
Naomba kuchangia mada.
Tangu jana usiku nimeona picha na nimesoma post mbalimbali ambazo kwa kiasi kikubwa zilikua zinaonyesha kwamba tamasha la Jide lilifana kuliko la MwanaFA. Sababu kubwa za tamasha la jide kufana inaonyesha ni idadi ya watu waliohudhuria na burudani.
Kwa upande wa Binamu, waliohudhuria walikua wachache na show ilipooza! Ni vigezo vipi unavyoangalia kumpa ushindi Binamu??

Hao mashabiki wastaarabu aliwachagua au walienda wenyewe? Kwa uelewa wangu wa muziki, hata uwe na masheikh na mapadri ukumbini, mziki ukiwa mzuri watakupa heshima yako kwa kuimba na wewe, kucheza, kukutuza au kupiga kelele ili mradi kuonyesha wanakuunga mkono.
Kama mashabiki wako watakaa kwenye viti mwanzo mpaka mwisho wa shoo, basi umeshindwa kuwapa kile walichokitegemea kwako, maana yake umefanya vibaya!

Unafkiri ni kweli mashabiki wa Binam walikua wastaarabu au ni kupooza kwa show ndo kuliwafanya wapooze?

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

Naomba nikusaidie kidogo. Mimi ni moja kati ya watu walikuwa wakifinestika siku hiyo ukweli shoo ya FA ilikuwa na watu wakutosha kwa idadi waliyokuwa wanaitaka pia suala la shangwe watu walipiga shangwe la kutosha kulinga na hashi zao maana palikuwapo na ma celeb wa kutosha kiasi kwamba nilijikuta mimi ndiyo maskin ndani nilieenda na vitz wakati watu wamekuja na mikoko ya adabu. Kwa anaconda shangwe lazima liwe kubwa la kutosha kulingana na idadi kubwa ya walioenda walienda na daladala hivyo kelele nyingi pia ni kawaida yao
 
MwanaFa2ma shity 2...ana2mika kama condm msomi af unapelekwapelekwa 2..ka taira..asa hao wengne ambao hawajasoma c ndo kabisa...
 
acha unafiki wewe, unaweza vp kulinganisha Jide na FA? Angalia Jide ana albam ngapi, utajiri kiasi gani? influence gani kwa jamii (balazi wa fistula). Pia ni mwanamuziki bora wa kike TZ kwa mwaka huu.

FA anatumiwa na hajui kama anajiharibia sana kwa hilo maana yeye pia ni msanii angesimama upande wa wasanii wenzake na sio kutumiwa kwa maslai ya watu, natabiri huu ndio mwisho wake utaona tu. Hana u-classic wowote maana jana ilikuwa ni kudhihirishiana kuwa upande upi una nguvu na mwisho wa siku Jide amewapotezelea mbali

MwanaFA kwa Jide bado sana na hata wangesimamisha THT yote wasingeweza kumfunika Jide
Sawa mkuu
 
Hakika Nimeamini mwana FA ni kiboko ya njia!kwamba anakubalika na watu wastaarabu na wenye hekima!ndo maana kama mliokuwepo mliona wote waliokuwepo ni watu wenye hadhi ya kimataifa,watu wasiopenda kujisifia,kitu kizuri jamani hujiuza!kibaya hujitembeza!tukija kwenye kiingilio utakubalana name kwamba ulilenga watu waliostaarabika na wasiopenda kubwabwaja ovyo ndo maana hata mtu mzima FA tangia alipochafuliwa jina lake hujaona akijibu kwa namna yoyote ile!Big up BINAMU! ......Team BINAMU hakuna kuwajibu wasiojua maana maana hawaambiwi maana!mjadala umefungwa na mshindi ni MWANA FA! mana ameonyesha ukomavu na BUSARA kwa kutomjibu bibi yetu!
Mwana FA anaenda kupoteza fedha zake za tigo kwenye KAMPENI.
 
Back
Top Bottom