Muda ndo kila kitu...muone.Wewe ulivyonikataa ulidhani ni wanawake wote ni makatili kama wewe? Mwache mrembo wa watu afaidi vinono...
Wivu sio dawa... ebo!
Hakuna kama Sky eclat huyu dada ni mkali wao yaani ni wa moto linapokuja suala la uelewa kichwani kwake ni mchezo simple kuna ma file mazito juu yake.
Kiukweli nampenda huyu mama wanawake wote igeni akili yake ana material sana mtafanikiwa.
Kumbe ni mkubwa hivi mimi nadhani ni 30+Napenda kukufahamisha kuwa Sky Eclat ni mke wangu halali wa ndoa....
Leo nimekusamehe, lakini siku nyingine uwe unaomba kibali cha kumwanzishia thread...
Kibali hicho nakitoa mimi mwenyewe orijinale...
View attachment 1720312
Au mdogo wake mahabani Kasie Matata
View attachment 1720313
Ungesema 40+ ungekuwa unajaribu kuukaribia ukweli...Kumbe ni mkubwa hivi mimi nadhani ni 30+
Sawa babu aspirinUngesema 40+ ungekuwa unajaribu kuukaribia ukweli...
Siku nyingine usiwe unasahau kumpa shikamoo yake
Subiri kwanza mwendazake apumzike kwa amani...Muda ndo kila kitu...muone.
Hebu nitumie na ya kutolea huko....
Kwanza nampataje huyu mamaHakuna kama Sky eclat huyu dada ni mkali wao yaani ni wa moto linapokuja suala la uelewa kichwani kwake ni mchezo simple kuna ma file mazito juu yake.
Kiukweli nampenda huyu mama wanawake wote igeni akili yake ana material sana mtafanikiwa.
Ananifichaga mashosti zake, sijui anafikiri nina tabia mbaya?Hehehee hukujuaga kumbe
Ananifichaga mashosti zake, sijui anafikiri nina tabia mbaya?
I think,they already met each other.How can u be so sure she is female??
Kumbe hata wewe unaniamini....Ungekua na tabia mbaya tungeshauziana files..... haki tungefanya colabo tokomeza Asprin
NimechekaaaaHapo sawa. Ole wenu nikute mnasikiliza taarab
Sipendi kusutwa mimi
AminaSubiri kwanza mwendazake apumzike kwa amani...
Hamchelewi kuzuga mnaimba taarab kumbe mnanisuta mzee mzima....Nimechekaaaa
Kwani hutaki wenzio turushe roho na vidole juu🤣🤣