Soloma TV Online
Senior Member
- Jun 26, 2023
- 104
- 291
Kuna kitu gani kinaendelea huko kati ya Simba na Yanga kiasi cha kumuinua Mo Dewji na kuandika alichoandika?
===
Simba na Yanga ni utani sio uadui, mbona mimi nawasaidizi wakaribu ambao wanashabikia Yanga siwa bagui? Acheni kutukanana. Mbona siwa bagui wanafunzi ambao ninawasomesha? Je nawauliza wewe ni Simba au Yanga? MoXtra
===
Simba na Yanga ni utani sio uadui, mbona mimi nawasaidizi wakaribu ambao wanashabikia Yanga siwa bagui? Acheni kutukanana. Mbona siwa bagui wanafunzi ambao ninawasomesha? Je nawauliza wewe ni Simba au Yanga? MoXtra