Nani kaona tukio la mchezaji wa Coastal union kupewa kadi za njano mbili bila nyekundu?

Nani kaona tukio la mchezaji wa Coastal union kupewa kadi za njano mbili bila nyekundu?

bryan2

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2016
Posts
3,323
Reaction score
4,679
Hakika soka letu kivyetu vyetu leo nimeshuhudia kioja cha mwaka kama sikosei ni Semfuko mchezaji wa Coastali kapewa njano mbili bila kupewa nyekundu, Kwa kifupi huyu refa wa leo alikua na maelekezo kutoka juu either ngoma ikwishe droo au Yanga apoteze.

Tumeshuhudia Refa akikosa utulivu kabisa akipuliza filimbi hata kwa matukio madogo tu hasa yale ya Yanga kipindi cha kwanza Kostali walikua wamekamia gemu wakicheza undava mnoo uzuri nao Yanga wana watu wa Undava mwite Dr Aucho huyu mtata sana anakutibu unavyokuja.

kituko cha mwaka kiliibuka pale kadi ya Njano ya Semfuko ilipofutwa kimiujiza na kupewa kadi nyingine ya njano bila kupewa red na taarifa zikaja njano ya kwanza imefutwa [emoji1][emoji1][emoji1]hawa waamuzi wa kibongo hakika bado sana au basi ni kujizima data tu.

Tunajua Kostali ni Simba B na sio ajabu waliwaambia wanasimba nyie tulieni tutawalipia kisasi chenu cha goli 5(Mkono) ndio maana walianza kwa kucheza pira vurugu.

Roma ikisema imesema
 
Kadi ya kwanza aliifuta kwa sababu alimpa kwa makosa

Kadi ya kwanza ilistahiki apewe mchezaji mwingine ambaye aliyefanya makosa

Ila refa akampa kadi mtu
asiyestahiki
 
Kadi ya kwanza aliifuta kwa sababu alimpa kwa makosa

Kadi ya kwanza ilistahiki apewe mchezaji mwingine ambaye aliyefanya makos,...

Blaza umeangalia mpira Tv somalia nini labda kama kadi ya pili ila kadi ya kwanza Semfuko ndio alicheza faulo.
hebu twambie wewe huyo mchezaji wa kwanza ni nani
 
Blaza umeangalia mpira Tv somalia nini labda kama kadi ya pili ila kadi ya kwanza Semfuko ndio alicheza faulo.
hebu twambie wewe huyo mchezaji wa kwanza ni nani
Refa alisema ameifuta kaka, wakat anampa kadi alimwambia pia mchezaji.

Tusiwapangie sana marefa, wao wanabeba maamuzi ya mwisho.

Refa alirudi kwa wasaidizi akawaambia pia.

Tuangalie je kanuni zinamruhusu?
Siyo kumkamia tu..!
 
Blaza umeangalia mpira Tv somalia nini labda kama kadi ya pili ila kadi ya kwanza Semfuko ndio alicheza faulo.
hebu twambie wewe huyo mchezaji wa kwanza ni nani
Unaambiwa unabisha
Foul alicheza number 17 Gwalala Gerard
Akatoa kadi kwa number 37 Semfuko Charles
Kwenye kuweka ukuta Semfuko akafanya infringement ambayo alistahili kadi
REF akafuta Ile ya kwanza ila akampa ya kufanya persistent infringement alafu akarudi kwa Gwalala akatoa yellow alocheza kama tactical foul kwa Ki aziz
 
Unaambiwa unabisha
Foul alicheza number 17 Gwalala Gerard
Akatoa kadi kwa number 37 Semfuko Charles
Kwenye kuweka ukuta Semfuko akafanya infringement ambayo alistahili kadi
REF akafuta Ile ya kwanza ila akampa ya kufanya persistent infringement alafu akarudi kwa Gwalala akatoa yellow alocheza kama tactical foul kwa Ki aziz
Shukrani kwa maelekezo
 
Unaambiwa unabisha
Foul alicheza number 17 Gwalala Gerard
Akatoa kadi kwa number 37 Semfuko Charles
Kwenye kuweka ukuta Semfuko akafanya infringement ambayo alistahili kadi
REF akafuta Ile ya kwanza ila akampa ya kufanya persistent infringement alafu akarudi kwa Gwalala akatoa yellow alocheza kama tactical foul kwa Ki aziz
Hakuangalia Mpira kasimuliwa, sasa kaja spidi.
 
Back
Top Bottom