hao jamaa wapo sinza mori
Usipoteze muda wako kwenda, mara nyingi kama hizo huwa wanajishughulisha na uuzaji wa bidhaa hasa kichina (unapewa bidhaa muda ambao upo free unaziuza) ...Kuna jamaa yng alitumiwa txt kama hy kwenda kufatilia ndo akakuta mambo hayo.
Hahahaaha, wanaudhiii. Mie nilitumiwa SMS na my closest friend 'darling, there is something very important I think you should know. Plz njoo new Africa hotel as soon as you can and it has to be today' nikapanick, namuambia hatuwezi kuongea kwa simu? Anasema hapana. Acha nikimbie, na nilikuwa Kama 10 ams away. Nafika nakuta utumbo wa bio disk. Hata sikusikiliza, nikachukua kadi Yao nikaahidi kuwapigia. Kugoogle sijui kipendant ukivaa unakuwa na akili za ziada, nikafyonzaa nikasahauWaliwahi kunitumia SMS kama hiyo..kabla sijaenda nikawauliza kazi inahusisha kitu gani haswa..walikataa kbs kunitajia eti mpaka niende ofisini kwako.. Nikatupa kuleee..