Zanta
JF-Expert Member
- Apr 4, 2011
- 2,028
- 796
Wandugu nimepokea msg kwenye simu inasema hivi
"Habari, Ofisi ya (Diamite Inter Company) inapenda kukupa nafasi ya kipekee, Endapo utapendelea kutumia muda wako wa Ziada kuweza kujiongezea kipato. ama ndio tafadhali tumia number hii 0719152760. ili kupata maelezo kufika ofisini. Eva""
Sasa nani anawajua hawa jamaa kabla sijatumia kadola kangu kuwapigia? Isije kua ndio wale wa bidhaa za kuzungusha maofisini? Mwenye kuwajua atoe details hapa
"Habari, Ofisi ya (Diamite Inter Company) inapenda kukupa nafasi ya kipekee, Endapo utapendelea kutumia muda wako wa Ziada kuweza kujiongezea kipato. ama ndio tafadhali tumia number hii 0719152760. ili kupata maelezo kufika ofisini. Eva""
Sasa nani anawajua hawa jamaa kabla sijatumia kadola kangu kuwapigia? Isije kua ndio wale wa bidhaa za kuzungusha maofisini? Mwenye kuwajua atoe details hapa