Nani Karuhusu Bendera zenye Picha ya Rais Samia na Jakaya Kikwete kupeperushwa kwenye Uwanja wa KMC?

Nani Karuhusu Bendera zenye Picha ya Rais Samia na Jakaya Kikwete kupeperushwa kwenye Uwanja wa KMC?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Hili ni Swali ambalo naliekeza kwa Mamlaka za soka za Tanzania ikiwa ni pamoja na TFF.

Inawezekanaje mambo haya yakafanyika na AZAM TV wakarusha hewani Dunia nzima?

Angalau tuliwahi kuona picha za viongozi zikipeperushwa, japo si sawa, lakini sasa baada ya Yanga kushinda bao la 3 zimeibuliwa Bendera zenye picha ya Rais Samia na zingine zina picha ya Rais Mstaafu Jakaya Kikwete.

Ninaamini hili jambo limepangwa na walio kwenye picha hizo, maana haiwezekani Mtu yeyote binafsi kutumia picha ya Kiongozi kwa matakwa binafsi, ndio maana hata waliochoma picha za kuchorwa tu wametekwa na kupotezwa.

Bali tunachojiuliza ni hiki, Malengo ya Jambo hilo ni yapi, Kwamba hao waliomo kwenye hiyo picha ndio wamiliki halali wa Nchi yetu na sisi wengine tunaishi kwa hisani yao tu? na Je ni kweli kwamba hao ndio wanaoimiliki hii Nchi na sisi wengine ni vijakazi wao tu?

Naomba kuwasilisha.
 
Hili ni Swali ambalo naliekeza kwa Mamlaka za soka za Tanzania ikiwa ni pamoja na TFF.

Inawezekanaje mambo haya yakafanyika na AZAM TV wakarusha hewani Dunia nzima?

Angalau tuliwahi kuona picha za viongozi zikipeperushwa, japo si sawa, lakini sasa baada ya Yanga kushinda bao la 3 zimeibuliwa Bendera zenye picha ya Rais Samia na zingine zina picha ya Rais Mstaafu Jakaya Kikwete.

Ninaamini hili jambo limepangwa na walio kwenye picha hizo, maana haiwezekani Mtu yeyote binafsi kutumia picha ya Kiongozi kwa matakwa binafsi, ndio maana hata waliochoma picha za kuchorwa tu wametekwa na kupotezwa.

Bali tunachojiuliza ni hiki, Malengo ya Jambo hilo ni yapi, Kwamba hao waliomo kwenye hiyo picha ndio wamiliki halali wa Nchi yetu na sisi wengine tunaishi kwa hisani yao tu? na Je ni kweli kwamba hao ndio wanaoimiliki hii Nchi na sisi wengine ni vijakazi wao tu?

Naomba kuwasilisha.
Lissu na atengeneze nyingi zipeperushwe na singida black stars uwanja wa Liti
 
TV ni mali yangu na bando nililolipia ni langu, kwanini nizime TV?
Sasa nzi aliingia ndani ya kikombe Cha uji utaendelea kuunywa Kwa madai kuwa uji umeshaulipia?

Kiukweli siasa kuingia michezoni inakera.
 
UCHAWA everywhere
Hili ni Swali ambalo naliekeza kwa Mamlaka za soka za Tanzania ikiwa ni pamoja na TFF.

Inawezekanaje mambo haya yakafanyika na AZAM TV wakarusha hewani Dunia nzima?

Angalau tuliwahi kuona picha za viongozi zikipeperushwa, japo si sawa, lakini sasa baada ya Yanga kushinda bao la 3 zimeibuliwa Bendera zenye picha ya Rais Samia na zingine zina picha ya Rais Mstaafu Jakaya Kikwete.

Ninaamini hili jambo limepangwa na walio kwenye picha hizo, maana haiwezekani Mtu yeyote binafsi kutumia picha ya Kiongozi kwa matakwa binafsi, ndio maana hata waliochoma picha za kuchorwa tu wametekwa na kupotezwa.

Bali tunachojiuliza ni hiki, Malengo ya Jambo hilo ni yapi, Kwamba hao waliomo kwenye hiyo picha ndio wamiliki halali wa Nchi yetu na sisi wengine tunaishi kwa hisani yao tu? na Je ni kweli kwamba hao ndio wanaoimiliki hii Nchi na sisi wengine ni vijakazi wao tu?

Naomba kuwasilisha.
 
Back
Top Bottom