kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Napigania wananchi waishi kwa matakwa yao kila mmoja akiamua kubeba na kupeperusha bendera kwa amani!Hivi Mkuu ni kipi hasa unachokipigania hapa Duniani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Napigania wananchi waishi kwa matakwa yao kila mmoja akiamua kubeba na kupeperusha bendera kwa amani!Hivi Mkuu ni kipi hasa unachokipigania hapa Duniani?
maybe ni mdhamini au liceKikwete anagombea nini?
Basi HayaNapigania wananchi waishi kwa matakwa yao kila mmoja akiamua kubeba na kupeperusha bendera kwa amani!
Haya nawe beba ya mbowe na lissu!Basi Haya
ALIYEKUELEWA AJE ATUELEZEE VIZURI MAANA NAONA UNAJICHANGANYA TU HUELEWEKI UNATAKA KUSEMA NINIHili ni Swali ambalo naliekeza kwa Mamlaka za soka za Tanzania ikiwa ni pamoja na TFF.
Inawezekanaje mambo haya yakafanyika na AZAM TV wakarusha hewani Dunia nzima?
Angalau tuliwahi kuona picha za viongozi zikipeperushwa, japo si sawa, lakini sasa baada ya Yanga kushinda bao la 3 zimeibuliwa Bendera zenye picha ya Rais Samia na zingine zina picha ya Rais Mstaafu Jakaya Kikwete.
Ninaamini hili jambo limepangwa na walio kwenye picha hizo, maana haiwezekani Mtu yeyote binafsi kutumia picha ya Kiongozi kwa matakwa binafsi, ndio maana hata waliochoma picha za kuchorwa tu wametekwa na kupotezwa.
Bali tunachojiuliza ni hiki, Malengo ya Jambo hilo ni yapi, Kwamba hao waliomo kwenye hiyo picha ndio wamiliki halali wa Nchi yetu na sisi wengine tunaishi kwa hisani yao tu? na Je ni kweli kwamba hao ndio wanaoimiliki hii Nchi na sisi wengine ni vijakazi wao tu?
Naomba kuwasilisha.
Don’t underestimate what machawa can do!Hili ni Swali ambalo naliekeza kwa Mamlaka za soka za Tanzania ikiwa ni pamoja na TFF.
Inawezekanaje mambo haya yakafanyika na AZAM TV wakarusha hewani Dunia nzima?
Angalau tuliwahi kuona picha za viongozi zikipeperushwa, japo si sawa, lakini sasa baada ya Yanga kushinda bao la 3 zimeibuliwa Bendera zenye picha ya Rais Samia na zingine zina picha ya Rais Mstaafu Jakaya Kikwete.
Ninaamini hili jambo limepangwa na walio kwenye picha hizo, maana haiwezekani Mtu yeyote binafsi kutumia picha ya Kiongozi kwa matakwa binafsi, ndio maana hata waliochoma picha za kuchorwa tu wametekwa na kupotezwa.
Bali tunachojiuliza ni hiki, Malengo ya Jambo hilo ni yapi, Kwamba hao waliomo kwenye hiyo picha ndio wamiliki halali wa Nchi yetu na sisi wengine tunaishi kwa hisani yao tu? na Je ni kweli kwamba hao ndio wanaoimiliki hii Nchi na sisi wengine ni vijakazi wao tu?
Naomba kuwasilisha.
Ziko wapo hizo bendera!Hili ni Swali ambalo naliekeza kwa Mamlaka za soka za Tanzania ikiwa ni pamoja na TFF.
Inawezekanaje mambo haya yakafanyika na AZAM TV wakarusha hewani Dunia nzima?
Angalau tuliwahi kuona picha za viongozi zikipeperushwa, japo si sawa, lakini sasa baada ya Yanga kushinda bao la 3 zimeibuliwa Bendera zenye picha ya Rais Samia na zingine zina picha ya Rais Mstaafu Jakaya Kikwete.
Ninaamini hili jambo limepangwa na walio kwenye picha hizo, maana haiwezekani Mtu yeyote binafsi kutumia picha ya Kiongozi kwa matakwa binafsi, ndio maana hata waliochoma picha za kuchorwa tu wametekwa na kupotezwa.
Bali tunachojiuliza ni hiki, Malengo ya Jambo hilo ni yapi, Kwamba hao waliomo kwenye hiyo picha ndio wamiliki halali wa Nchi yetu na sisi wengine tunaishi kwa hisani yao tu? na Je ni kweli kwamba hao ndio wanaoimiliki hii Nchi na sisi wengine ni vijakazi wao tu?
Naomba kuwasilisha.
Nifundishe kuandika maneno ya BULUU☺️😊
Akikupa jibu litakalokuridha share na mimi mkuuHivi Mkuu ni kipi hasa unachokipigania hapa Duniani?