Nani kasema haiwezekani?

Nani kasema haiwezekani?

Kasheshe

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2007
Posts
4,694
Reaction score
790
Siku zote wataalamu wa Tanzania wa ICT wameendelea na ngonjera zao kwamba haiwezekani kuzuia maroroso ya internet kwa vijana wetu.

kwa wenzetu UAE, China, wanazuia content wasizozitaka.

Tanzania pia ingewezekana... kama TCRA ingesimama imara... lakini Tanzania kila kitu bora iende.
 
Last edited:
Mkuu please maelezo ya ziada yanahitajika....
Ameipata akisurf akiwa Dubai,kwani angesurf akiwa bongo asingeipata?
TCRA isimamie lipi hasa?Kuhakikisha kuwa akses to furiiii mp3 and lyrics zinapatikana online??
Weekend hizi.....
 
Back
Top Bottom