Uchaguzi 2020 Nani kati ya hawa anafit kuchuana tena na Rais Magufuli 2020 (UKAWA)

Uchaguzi 2020 Nani kati ya hawa anafit kuchuana tena na Rais Magufuli 2020 (UKAWA)

Louis II

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2018
Posts
3,030
Reaction score
4,647
Kwa hali ya kisiasa ilivyo nchini chini ya uongozi wa Rais Magufuli, kuna baadhi ya Watu hasa wanasiasa wa upinzani wanadhani serikali hii haifai na Rais aliyepo hamudu hiyo nafasi
.
.
Swali ni je,wao wamejipangaje kukabiliana na Rais Magufuli hapo 2020?? Na je,wewe unadhani nani ataweza kumtoa jasho jiwe kati ya hawa???
1.Freeman A. Mbowe
2.Edward N. Lowassa
3.John Mnyika
4.Tundu A. Lissu

My take: Tundu Lissu anafaa coz amejijengea political personality kubwa hasa katika kipindi hiki cha utawala wa Rais Magufuli pamoja na matukio mabaya yaliyomtokea ambayo kimsingi yamemjengea political sympathy na popularity kubwa kwa Watanzania
 
mimi sio mwanasiasa,sio mwanaCCM but acha kumfananisha MAGUFULI na vitu vya kipumbavu...
Lengo la Uzi hujalielewa....kwamba kuna sehemu Magufuli amefananishwa hapo??
Swala la msingi ni nani kati ya watajwa hapo anaweza kufit kuchuana na Magu kwanye uchaguzi mkuu ujao
 
Hamna asiye na kichaa wa kushinda na mwenye kichaa
 
dalili za mvua ni mawangu,Jiwe alipo amua kuigeuza katiba ya CCM na kuipindua juu chini hakuwa mjinga,kupitia mageuzi hayo yanayomfanya huko CCM apite bila kupingwa kitu ambacho hakijawahi kutokea hata kipindi CHAMA Kikiwa kimoja.
kwa mantinki hiyo kwa njia yyte ile lengo la JIWE ni kuhakikisha anamaliza miaka yake 10,tunaweza kushuhudia washawasha zaidi ya yale 770 ya kikwete
 
Lengo la Uzi hujalielewa....kwamba kuna sehemu Magufuli amefananishwa hapo??
Swala la msingi ni nani kati ya watajwa hapo anaweza kufit kuchuana na Magu kwanye uchaguzi mkuu ujao
asante kumjibu vyema humu kuna vichaa siku hizi hasa muda huu wa balimi
 
Kwa mazingira ya uchaguzi ya bongo yyte ambaye ata gombea atakuwa kaua carrer yake tuu.
Magufuli atatangazwa mshindi kwa namna yyte ile
 
dalili za mvua ni mawangu,Jiwe alipo amua kuigeuza katiba ya CCM na kuipindua juu chini hakuwa mjinga,kupitia mageuzi hayo yanayomfanya huko CCM apite bila kupingwa kitu ambacho hakijawahi kutokea hata kipindi CHAMA Kikiwa kimoja.
kwa mantinki hiyo kwa njia yyte ile lengo la JIWE ni kuhakikisha anamaliza miaka yake 10,tunaweza kushuhudia washawasha zaidi ya yale 770 ya kikwete
Time will tell ....let's wait and see
 
Back
Top Bottom