Uchaguzi 2020 Nani kati ya hawa anafit kuchuana tena na Rais Magufuli 2020 (UKAWA)

Uchaguzi 2020 Nani kati ya hawa anafit kuchuana tena na Rais Magufuli 2020 (UKAWA)

acha unafiki na kutaka kujifanya wewe ni great thinker,kama upo sawa kichwani ungechangia hoja za mleta uzi na si kujifanya mkosoaji wa comment za watu,so sad and shame to have around such a stupid as you!
Ungekuwa mjanja usingeonesha upumbavu wako toka mwanzo, kama hutaki kukosolewa bora ukae kimya
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Ta
wewe una hadhi gani?
je hadhi yako ina faida kwa familia yako?
maana mimi hainisaidii,though najua hauna hadhi yeyote,fuata mkumbo tu..
Tatizo la kupokea viposho kutoka Lumumba....wengi wenu mnadanga mjini...mpo kama mandondocha tu
 
Ta

Tatizo la kupokea viposho kutoka Lumumba....wengi wenu mnadanga mjini...mpo kama mandondocha tu
nina uwezo wa kukulisha wewe,mkeo na wanao kwa mwaka mzima na usiamini...acha kuwakadiria watu.
 
nina uwezo wa kukulisha wewe,mkeo na wanao kwa mwaka mzima na usiamini...acha kuwakadiria watu.
Hahahaah duh mkuu umetisha......bora tu ukae kimya....yani wewe mburura wa kuweza bajeti ya familia yangu kweli
 
Kwa hali ya kisiasa ilivyo nchini chini ya uongozi wa Rais Magufuli, kuna baadhi ya Watu hasa wanasiasa wa upinzani wanadhani serikali hii haifai na Rais aliyepo hamudu hiyo nafasi
.
.
Swali ni je,wao wamejipangaje kukabiliana na Rais Magufuli hapo 2020?? Na je,wewe unadhani nani ataweza kumtoa jasho jiwe kati ya hawa???
1.Freeman A. Mbowe
2.Edward N. Lowassa
3.John Mnyika
4.Tundu A. Lissu

My take: Tundu Lissu anafaa coz amejijengea political personality kubwa hasa katika kipindi hiki cha utawala wa Rais Magufuli pamoja na matukio mabaya yaliyomtokea ambayo kimsingi yamemjengea political sympathy na popularity kubwa kwa Watanzania
Kwa NEC hii hii au nyingine?
 
Kwa hali ya kisiasa ilivyo nchini chini ya uongozi wa Rais Magufuli, kuna baadhi ya Watu hasa wanasiasa wa upinzani wanadhani serikali hii haifai na Rais aliyepo hamudu hiyo nafasi
.
.
Swali ni je,wao wamejipangaje kukabiliana na Rais Magufuli hapo 2020?? Na je,wewe unadhani nani ataweza kumtoa jasho jiwe kati ya hawa???
1.Freeman A. Mbowe
2.Edward N. Lowassa
3.John Mnyika
4.Tundu A. Lissu

My take: Tundu Lissu anafaa coz amejijengea political personality kubwa hasa katika kipindi hiki cha utawala wa Rais Magufuli pamoja na matukio mabaya yaliyomtokea ambayo kimsingi yamemjengea political sympathy na popularity kubwa kwa Watanzania
Kwa Tume ipi na hao wakuu wa vituo wakiwa ni wakurugenzi wa manispaa?
 
Hata aje Yesu bado ma ccm yataiba kura na kumtangaza msengeee wao... Kama 2015 walivyofanya
 
Kwa hali ya kisiasa ilivyo nchini chini ya uongozi wa Rais Magufuli, kuna baadhi ya Watu hasa wanasiasa wa upinzani wanadhani serikali hii haifai na Rais aliyepo hamudu hiyo nafasi
.
.
Swali ni je,wao wamejipangaje kukabiliana na Rais Magufuli hapo 2020?? Na je,wewe unadhani nani ataweza kumtoa jasho jiwe kati ya hawa???
1.Freeman A. Mbowe
2.Edward N. Lowassa
3.John Mnyika
4.Tundu A. Lissu

My take: Tundu Lissu anafaa coz amejijengea political personality kubwa hasa katika kipindi hiki cha utawala wa Rais Magufuli pamoja na matukio mabaya yaliyomtokea ambayo kimsingi yamemjengea political sympathy na popularity kubwa kwa Watanzania
====

Hao uliowataja kutoka UKAWA, hawawezi kupambana na Magufuli akawashinda. Labda kama unasema mmoja wao kupambana na polisi/JWTZ/TISS wanaomuwakilisha Magufuli.
 
Back
Top Bottom