Kibunango,
1.Jk ni mtu mmoja wa ajabu sana kwa maoni yangu sababu ameshindwa kuyatolea majibu maswali magumu,watawala na wasaidizi wenzake wanamuita na kusema ni Mvumilivu,Ansbert ngurumo anasema ukitaka kumjua mtu angalia rafiki zake,atakuwa anafanana nao,Mie naungana na Ngurumo katika Hili,yeye ni kama wao ndio maana ina mchukua muda yeye kuwachukulia hatua sababu ni rafiki zake.Tabia ya Unafiki.
2.UVCCM na CCM ya mkoa wa Tanga ndiyo CCM ile ambayo iliachwa na Mwalimu,CCM ambayo ina fuata misingi ya Utu na ndio maana kila siku huwa wanampinga makamba katika mambo mengi,wanataka haki kwa ajili ya wafanyakazi na walimu.kwa maana nyingine hawataki CCM ya wafanya Biashara.wamejaribu kuwalazimisha wajiunge nao ila wameshindwa na kama unakumbuka ndio maana niliwahi kushinikiza makamba ajiuzuru. watu wakamtetea,ila hawa watu wa mfano wa makamba ndiyo wanawakumbatia hawa wala rushwa na Mafisadi.Kumbuka ni nani alimtetea Lowassa sisulubiwe mbele ya JK??