kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Usalama wa watanzania ulikaribia kuhatarishwa na wale wote waliouza tiketi nyingi mno kuliko uwanja za kuingia uwanja wa mkapa kuangalia mechi ya taifa stars v Uganda. Hii ilikuwa na malengo gani? Kuibia watu? Kuua watu? Kuumiza watu, kusababu wasitii Sheria bila shuluti au nini?
Watu hawa wachukuliwe hatua haraka
Watu hawa wachukuliwe hatua haraka