Dr m wilbard
Member
- Jan 22, 2015
- 63
- 13
Hiyo noma sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona hizo data zimebase kwenye viongozi wa zamani inamaana sasa hii karne hakuna waliovunja hiyo reckod??
Mbona kuna baadhi ya viongozi wanaua mamilioni ya raia tena katika nchi zaidi ya moja!!
Hao hawaingii hata top 10 jamani??
Hii list ni propaganda za Americans kipindi cha ukomunist, ilikua inalenga kuitangazia dunia ubaya wa ukomunist na viongozi wao, ukiwaondoa Adolf Hitler, Leopold II, Hideki Tojo na Ismail Pasha, waliobakia wote ni wakomunisti na hatahao niliowataja mataifa yao yalikua na uadui na America miaka hiyo, toka kwisha vita kuu ya pili dunia mwaka 1945 Marekani ndilo taifa lililoshiriki vita nyingi zaidi mpaka sasa na vita hivyo vimegharimu maisha ya watu kwa mamilioni lakini cha ajabu hakuna kiongozi hata mmoja wa Marekani aliewahi kuhusishwa na mauaji , mi nadhani Franklin Roosevelt alipaswa kuwemo kwenye hiyo list. Tusubiri list mpya itakayokua na akina Osama bin Laden, Sadam Husein, Muamar Gaddaf, Slobodan Milosovic, Kim Il Jong, Vladimir Putin, Mohamed Ahmednejad............
Siyo Kweli Waarabu Watabaki Kuwa Wakatili Tangu Enzi Za Ukoloni Unazani Bara La Afrika Limepoteza Kiasi Gani Cha Watu