Nani kawadanganya kuwa waarabu ni wakatili? Ona viongozi waliouua watu wengi zaidi duniani

Siyo Kweli Waarabu Watabaki Kuwa Wakatili Tangu Enzi Za Ukoloni Unazani Bara La Afrika Limepoteza Kiasi Gani Cha Watu
 
Mbona hizo data zimebase kwenye viongozi wa zamani inamaana sasa hii karne hakuna waliovunja hiyo reckod??
Mbona kuna baadhi ya viongozi wanaua mamilioni ya raia tena katika nchi zaidi ya moja!!
Hao hawaingii hata top 10 jamani??

Kumuacha Bush ni kosa kubwa!
 

Kwa hiyo watu wote walioteketa Iraq kwa uvamiz wa Bush bado hayuko kwenye list, hii ni ajabu kubwa. Yaani ukiuawa na Wazungu haiwi mauaji,vita vya Vietnam, raia si chini ya million2 waliaga dunia, still Rais wa US aliyeshiriki wakati huo hayumo!Badala yake wanatajwa akina Yakubu, sijui Ojukwu na Wakomunisti weeeengiii, huu ni upotoshaji! Wakati mwingine hawa wikipedia wako biased, taarifa potofu kabisa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…