Nani kawadanganyeni kuwa Uganda Cranes ( Timu ya Taifa ya Uganda ) itatuachia mwakani mwezi Machi kuna Uwanja wa Taifa?

Ulichokiandika ndicho kilikuwa kichwani mwangu pia.Tatizo ni kocha,wachezaji au kitu gani?....Lesotho wametrain siku 2 tu!
 
Tutaenda afcon watz na ugonjwa wa kukata tamaa mapema. Kama tulitoa draw na uganda kwao huku kwetu kwa nini cuf washangae tukimfunga? Kumbukeni maseru kuna namba tulizikosa akiwemo sammata kapombe nyoni na banda. Wakiwemo hao uganda atalala tu. Pia lesotho kwa cape verde hatoki salama pale. Tusiwe na wasi mwaka huu wetu. Kocha arekebishe tu upangaj wa timu naona bado
 
Mwenyeji anapewa tiketi ya ushiriki moja kwa moja acha porojo za kijiweni.

Sina uhakika sana,namuona Cameroun naye yupo kwenye makundi anapambana kufa na kupona.Sasa sijajua kama kundi hilo zinatoka Timu tatu kwani Cameroun anaonekana kupata nafasi za juu 1-2.Je angekuwa kashika mkia bado angeshiriki.Ngoja nifiatilie,nitarudi ndugu shoes
 
Ukiwa mwenyeji tiketi unayo tayari mkononi.
 
Gentamycine mie toka jana sijapona hasira na stress alizonisababishia yule kocha muovu mshenzi kabisa ambaye amehodhi wachezaje wazuri kabisa wa kutuvusha anaishia kupanga madudu anayoyajua yeye na waliomtuma.
Nina waswas kapewa fedha na wa lesotho yule
 

Pole sana Mkuu.
 
Wahenga walishamaliza kuwa ...Ng'ombe hanenepi siku ya mnada........hakuna namna ambavyo watu wanasubiri mpaka siku za mwisho ndo wanaweka nguvu katika mchezo halafu wategemee miujiza. Matokeo ya Mpira ni mikakati ya muda mrefu, sio propaganda na maneno ya midomoni. Aidha, hali ya Tanzania ambayo watu wana wasi wasi ya maisha, haitoi hali ya utulivu kwa wachezaji na viongozi kutulia na kuwaza michezo. Hakuna mtu wa kuwaza michezo ilhali hana uhakika wa kesho.
 
Cameroon alikua 50/50 anaweza kunyang'anywa uandaaji, kutokana na wasiwasi mambo ya uchaguzi na maandalizi kwa ujumla, kwahiyo akatakiwa kupambana

Hapo sasa nimekuelewa,kwa kuwa nilikuwa sioni logic ya yeye kuhangaika na kusaka hizo nafasi mbili wakati yeye ni mwenyewe.Thanks bro.Na mimi nimesikia kuna sintofahamu kati ya Cameroun-Anglophone vs Cameroun Francophone.Bado nina hasira na michezaji mizembe ya Taifa stars.Michezaji minne imekaa kwenye mstari wa goli na mpira unaipita baada ya kipa kuuparaza badala ya kupiga ngumi mpira na mbaya sana kona ya kujitakia mabeki wawili wakiwa peke yao mmoja anaamua kuutoa mpira kona iliyozaa goli……………..
 
Yule mwalimu hata sijui alikiwa anakusudia nn..cjaelewa hadi ss hiv.
Ile gem sisi tulitakiwa kushinda, sasa yy kutupangia timu wakabaji watupu ndio vp?!
Hiv kwa nn kulia asingecheza nyoni, kushoto gadiel kati mkude na faisal shavu kulia msuva,kushoto kichuya na kati bocco na chilunga?!
Ile gem ndio pekee ilikuwa ya uhakika na kupambana mpaka mwisho kupata point 3, kwa nn asingetumia silaha zake zote?! Ss wale wakabaji bila hata c. Striker?! Jamaa akatufanyia kusudi kutunyima hii nafasi.
Nafsi imehamanika sana kwa matokeo ya kujitakia ya huyu mwalimu.
 

Angepanga moja ya Kikosi hiki yote haya yasingemkuta ila kwa sasa atuvumilie tu tumpe ' makavu ' yetu ' mubashara ' ili atujue Watanzania na akienda Kwao nchini Nigeria akawasimulie vizuri. Mpuuzi kabisa huyu Kocha na ndiyo maana sikumkubali tokea alipoteuliwa baada ya Kuziangalia vizuri ' CV ' zake hasa kwa Timu alizozifundisha katika nchi mbalimbali.

1. Aishi Manula

2. Shomari Kapombe / Salum Kimenya
3. Gadiel Michael
4. Erasto Nyoni
5. Kelvin Yondan
6. Jonas Mkude
7. Simon Msuva
8. Abubakary Salum / Faisal Salum
9. Thomas Ulimwengu / Shaaban Chilunda
10. John Boko
11. Shiza Kichuya


au

1. Aishi Manula

2. Ramadhan Kessy / Salum Kimenya
3. Abdi Banda / Gadiel Michael
4. Erasto Nyoni
5. Kelvin Yondan
6. Jonas Mkude
7. Simon Msuva
8. Faisal Salum / Abubakary Salum
9. Shaaban Chilunda / Thomas Ulimwengu
10. John Boko

11. Shiza Kichuya

Yaani kwa hasira / jazba nilizokuwa nazo nimeshindwa kabisa ' Kumbandua / Kumtunuku ' Utamu wa Kitandani Demu wangu tokea jana ile hadi sasa. Mkuyenge wangu nao ' umenuna ' kabisa kwa matokeo haya ya Kukera / Kuudhi kabisa.
 
Huyu angeatkiwa akutane na mabegi yake airport ya kwao huko hakuna hata haja ya kurudi tena Tanzania.
 
Huyu kocha hata kama ikatokea muujiza tukamchapa Uganda. Afungashiwe virago tu.

Jibu alilotoa "...stars sio simba" limeonyesha anashida ktk kumanage wachezaji. Pia ana mbinu dhaifu sana uwanjani.
 
Huyu angeatkiwa akutane na mabegi yake airport ya kwao huko hakuna hata haja ya kurudi tena Tanzania.

Na nashangaa mpaka sasa hili bado halijafanyika Mkuu au sijui wanataka Kwanza atue Jijini Dar es Salaam ili ' tumpopoe ' Kwanza na Mawe kisha akishapata manundu na ngeu ndipo arudi Kwao Abuja / Lagos!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…