BJB FC
JF-Expert Member
- Aug 25, 2015
- 2,064
- 2,312
Habari wakuu, wapenda soka, hususan li kule kwa kina Berlin (Andrés de Fonollosa).
Moto unaendelea kuwaka huko Spain. Mminyano wa hali ya juu kati ya timu nne za juu, Atletico Madrid, Real Madrid, Barcelona na Sevilla.
Wakati mashabiki wa Barca, wakitegemea kuwa kileleni kwa mara ya kwanza tangu msimu uanze, Granada wanapindua meza, na kutoka na point zote 3 ndani ya Camp Nou.
Real Madrid naye akitoa sare mechi zake mbili za mwisho, huku Cholo akila kichapo kutoka kwa Bilbao.
Sevilla, akiwa hatajwi sana, katika nyuzi pendwa humu za Barca na Madrid, amejikusanyia points zake 70 huku ametulia tulii kama hayupo vile.
Hapa tutapeana updates za mechi zilizobaki mpaka bimgwa apatikane. Kiunazi, karata yangu kwa Real Madrid, Moyoni Atletico Anachukua Ndoo.
Mechi tano zimebaki kwa kila mmoja, wakati msimamo ukiwa hivi [30.04.2021].
Moto unaendelea kuwaka huko Spain. Mminyano wa hali ya juu kati ya timu nne za juu, Atletico Madrid, Real Madrid, Barcelona na Sevilla.
Wakati mashabiki wa Barca, wakitegemea kuwa kileleni kwa mara ya kwanza tangu msimu uanze, Granada wanapindua meza, na kutoka na point zote 3 ndani ya Camp Nou.
Real Madrid naye akitoa sare mechi zake mbili za mwisho, huku Cholo akila kichapo kutoka kwa Bilbao.
Sevilla, akiwa hatajwi sana, katika nyuzi pendwa humu za Barca na Madrid, amejikusanyia points zake 70 huku ametulia tulii kama hayupo vile.
Hapa tutapeana updates za mechi zilizobaki mpaka bimgwa apatikane. Kiunazi, karata yangu kwa Real Madrid, Moyoni Atletico Anachukua Ndoo.
Mechi tano zimebaki kwa kila mmoja, wakati msimamo ukiwa hivi [30.04.2021].