Nani kumrithi Ramaphosa?

Nani kumrithi Ramaphosa?

and 300

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
26,398
Reaction score
36,406
Ramaphosa maji yamemfika utosini. Anytime anakwenda kujiuzulu ama ANC wamvue urais wa Chama (ambapo atakua amepoteza sifa za kuwa Rais wa Afrika Kusini). Tusubiri kukuche.
NB: Hii ndio demokrasia
 
Ramaphosa maji yamemfika utosini. Anytime anakwenda kujiuzulu ama ANC wamvue urais wa Chama (ambapo atakua amepoteza sifa za kuwa Rais wa Afrika Kusini). Tusubiri kukuche.
NB: Hii ndio demokrasia
Yaani hili Bara la Africa ni Aibu tupu. Mtu hata awe na utajiri wa Aina gani, akiingia kwenye siasa tu lazima aibe. Huyu jamaa kanivunja nguvu kabisa.
 
Yaani hili Bara la Africa ni Aibu tupu. Mtu hata awe na utajiri wa Aina gani, akiingia kwenye siasa tu lazima aibe. Huyu jamaa kanivunja nguvu kabisa.
Africa ubinafsi unatusumbua..
 
Huyu alishabikia kuondoka Kwa mwenzake na yeye pia kaangukia pua
 
Back
Top Bottom