Nani kurithi kiti cha Naibu wa Rais Kenya baada ya Rigathi Gachagua kubanduliwa?

Raila Odinga hamtaki kabisa Anne Waiguru

Raila ndiye Boss wa Kitchen Cabinet ya Ruto kwa sasa πŸ˜‚πŸ˜‚
Lakini mke wa Raila Ida Odinga ndie anaongoza wanawake hususani magovonor kwenye kampeni ya kuhakikisha Anne Waiguru anapewa nafasi ya Unaibu Rais Kenya,

Unadhani Ida Odinga anaweza kufanya hivyo bila idhini ya Raila Odinga?
πŸ’
 
Kindiki anatoka mount kenya? Mbona jina la kimeru hilo jombaa. Atakuwa mmeru huyo
 
Lakini mke wa Raila Ida Odinga ndie anaongoza wanawake hususani magovonor kwenye kampeni ya kuhakikisha Anne Waiguru anapewa nafasi ya Unaibu Rais Kenya,

Unadhani Ida Odinga anaweza kufanya hivyo bila idhini ya Raila Odinga?
πŸ’
Labda kama huzijui Siasa za Kenya

Hiyo ni nafasi ya Prof Kindiki kitambo sana tangia kule The Hague πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Labda kama huzijui Siasa za Kenya

Hiyo ni nafasi ya Prof Kindiki kitambo sana tangia kule The Hague πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hague na kura za hasira za mount Kenya wap na wapi sasa gentleman 🀣

kwani kabla ya Uchaguzi wa 2022, kati ya RIGATHI na Prof Kindiki Nani alikua potential zaidi ya mwingine na kwanini? Kwani Hague haikuwepo?πŸ’
 
Hague na kura za hasira za mount Kenya wap na wapi sasa gentleman 🀣

kwani kabla ya Uchaguzi wa 2022, kati ya RIGATHI na Prof Kindiki Nani alikua potential zaidi ya mwingine na kwanini? Kwani Hague haikuwepo?πŸ’

Kindiki alikuwa potential na ndiye aliyepata uungwaji mkono mkubwa kwa wajumbe ila Ruto akamchagua Gachagua ili kupata kura za MT Kenya
 
Kindiki anatoka mount kenya? Mbona jina la kimeru hilo jombaa. Atakuwa mmeru huyo
meru ni sehemu ya mount Kenya, na hata majuzi tu wabunge zaidi ya 30 kutoka upande huo wa meru, walijikusanya na kudiclare kwamba mount Kenya King Pin ni Prof Abraham Kithure Kindiki na sio RIGATHI GACHAGUA πŸ’

na kwasabb hiyo na sababu nyingine nyingi tu za kihistoria, inasekana mouth Kenya region imegawanyika vipande viwili, East na West ambako huko meru ndiyo East na kwingineko ni west πŸ’
 
Hague na kura za hasira za mount Kenya wap na wapi sasa gentleman 🀣

kwani kabla ya Uchaguzi wa 2022, kati ya RIGATHI na Prof Kindiki Nani alikua potential zaidi ya mwingine na kwanini? Kwani Hague haikuwepo?πŸ’
Gachagua aliwekwa kimkakati baada ya Ruto kukorofishana na Uhuru πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

UhuRuto walishamuahidi Prof Kindiki hiyo nafasi wakati Anne akiwa bimdogo wa Freedom Tanzaniata πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸŒΉ
 
Gachagua aliwekwa kimkakati baada ya Ruto kukorofishana na Uhuru πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

UhuRuto walishamuahidi Prof Kindiki hiyo nafasi wakati Anne akiwa bimdogo wa Freedom Tanzaniata πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸŒΉ
Bilashaka Ruto atapendelea kumuweka mtu mwingine kimkakati pia ili kumdhibiti huyo Gachagua na Uhuru wasifurukute,

unadhani Prof Kithure Kindiki anaweza wajibu huo mzito hasa ukizingatia mountain Kenya East wingi wa kura zake hauzidi ule mount Kenya West, huku Ruto pia akikusudia walau kuwatia moyo wa Mau Mau?πŸ’
 
Kindiki ndio ana Wabunge wengi kuliko hata Ruto πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kwa utani ningesema wapewe Wajaluo😁😁😁😁 kwasababu za ukabila wao.

Hatahivyo, namalizia Githeri yangu hapa.

Nitarudi
 
Kindiki ndio ana Wabunge wengi kuliko hata Ruto πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
kwani kindiki ana chama, hata awe na wabunge wengi gentleman? au ni part leader wa chama gani?

Gachagua analaumiwa na watu wa maunt kenya kwa kua sehemu ya serikali hali ya kua hana chama cha siasa. prof.kindiki anacho?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…