Japo uwezo anao na anafaa kuvaa viatu hivi lakini KAMWE hawezi kupendekezwa....
naachana na la uwaziri mkuu....natabiri kuteuliwa kwa wanaojiita wapiganaji wa ccm kina kyembe,kilango n.k mwaka huu wataula ukuu wa mikoa na unaibu waziri...kaaazi kweli kweli
mix with yours
Pinda ni kweli anafaa, tatizo kubwa yeye ni mtaalamu wa kujibu maswali bungeni, kuchair vikao, kuzima vuguvugu kitaalamu bila mtu kujua kama kuna suluhisho au hakuna, mfano Richmond, leo hii nikikuuliza hata yale mambo serikali iliyoambiwa ishughulikie we unajua yamefikia wapi? Pia ni mwadilifu
Inapokuja utendaje wa nje wa hayo niliyotaja hapo jamaa hayupo kabisa, mpole mno. Lowasa ni mfuatiliaji mzuri ila tatizo lake uadilifu.
Dr Magufuli yeye yuko kote kote, uadilifu, kupangua hoja kwa mifano na live data, na pia ni mfuatiliaji wa mambo. Pia hana jazba ya kugombeza watu hadharani. Tukitaka TZ isonge mbele kote kote, DR MAGUFU ni mtu sahihi kwa sasa. Ila kama tunataka mtu wa kupangua hoja na kujibu maswali vizuri bungeni Pinda ni mtu sahihi kwa sasa.
Ila ujue wananchi wanataka zaidi ya hapo, kuona miradi ya serikali ikikamilika kwa wakati na pia kua na value of maney. Magufuli alipokua Ujenzi, ardi, Uvuvi na Mifugo, amefanya kazi zinazoonekana.
Hii kazi mpeni Dr Magufuli, CCM itarudi 2015 bila kuweka mabango kama mwaka huu. Ila wakimwachia huyu aliyetoka theni wajiandae kuongeza budget ya mabango ya kampeni mara 4 zaidi ifikapo 2015.
Dr Magufuli sii mchezo, Jamaa alikua anafuatilia barabara, ujenzi umefikia wapi, ameziweka kichwani, anatoa tathmini zitaisha lini, wakandarasi wazembe walipigwa chini, Samaki alikua anadeal nao mpaka watu wakazika nyavu haramu wakaweka na misalaba ukidhani marehemu kumbe nyavu za kuvulia samaki. Alishawahi kukamata magari mengi ya serikali yanayofanya shuguli binafsi, anapangua hoja kwa hoja.
Pia jamaa kasomea Sayansi, na unavyojua science haihitaji longolongo ni facts tu, kwenye science hamna uongo kabisa.
Mpeni Dr Magufuli muone, mawaziri, wakurugenzi, wakuu wa wilaya+Mikoa wataacha kunukia Perfume/Marashi na watachapa kazi, then wananchi nao watachapa kazi
Huyu jamaa Dr Magufu, ni mtaalamu sana, alipopewa wizara ya Ardi, cha kwanza alichokifanya alienda darasani zaidi ya miezi 3 kusoma seria za ardi na mabaraza ja miji/vijiji. Alipoanza kazi ardi palianza kua pasafi, sasa sijui aligusa maslahi ya wakubwa akuchukua muda pale akapelekwa Mifugo na Uvuvi, nako huko akafanya mambo, meli ilikamatwa hana utani na haina maana zilikua haziibi samaki ili waliokuwepo walikua hawafuatilii
Ila SISIEMU tunawajua, watafanya kituko, tusubiri.
Can you check again maana ya neno mwangwi... Sio vacuum!!!
Kapwani inawezekana we are expecting the unexpected
Kama mnafuatilia utetezi wa CCM kumwengua SITTA walisema kinamama waliomba wapewe fursa aidha ya kutoa Waziri Mkuu au Spika, wakakubaliwa kutoa Spika hivyo nafasi ya Waziri Mkuu haiwezi kwenda kwa mwanamke. Prof. Anna Tibajika yeye atapewa wizara inayosimamia shirika la nyumba la Taifa.
..kyembe akiwa mkuu wa mkoa wa NJOLUMA na Kilango wa SIMIYU .......
mix with yours
Hivi huko siyo kuvunja katiba ya nchi kweli? Kuna mahali popote inaposema wakina mama wawe na haki ya kutoa maamuzi au madai kama hayo? kama ndivyo kweli ilivyotokea kuchaguliwa huyo Mama, basi sina shaka kuwa katiba ilivunjwa makusudi na kundi la viongozi wetu limekuwa kama darasa la chekechea. Hatukatai mwanamama kuwa Spika lakini watu wagombee na wateuliwe kwa umakini wao kufuatana na umuhimu wa nafasi ile. Sidhani kama ni sawa kutoa nafasi ya uspika kama zawadi. ITS A SHAME!!
Pinda ni kweli anafaa, tatizo kubwa yeye ni mtaalamu wa kujibu maswali bungeni, kuchair vikao, kuzima vuguvugu kitaalamu bila mtu kujua kama kuna suluhisho au hakuna, mfano Richmond, leo hii nikikuuliza hata yale mambo serikali iliyoambiwa ishughulikie we unajua yamefikia wapi? Pia ni mwadilifu
Inapokuja utendaje wa nje wa hayo niliyotaja hapo jamaa hayupo kabisa, mpole mno. Lowasa ni mfuatiliaji mzuri ila tatizo lake uadilifu.
Dr Magufuli yeye yuko kote kote, uadilifu, kupangua hoja kwa mifano na live data, na pia ni mfuatiliaji wa mambo. Pia hana jazba ya kugombeza watu hadharani. Tukitaka TZ isonge mbele kote kote, DR MAGUFU ni mtu sahihi kwa sasa. Ila kama tunataka mtu wa kupangua hoja na kujibu maswali vizuri bungeni Pinda ni mtu sahihi kwa sasa.
Ila ujue wananchi wanataka zaidi ya hapo, kuona miradi ya serikali ikikamilika kwa wakati na pia kua na value of maney. Magufuli alipokua Ujenzi, ardi, Uvuvi na Mifugo, amefanya kazi zinazoonekana.
Hii kazi mpeni Dr Magufuli, CCM itarudi 2015 bila kuweka mabango kama mwaka huu. Ila wakimwachia huyu aliyetoka theni wajiandae kuongeza budget ya mabango ya kampeni mara 4 zaidi ifikapo 2015.
Dr Magufuli sii mchezo, Jamaa alikua anafuatilia barabara, ujenzi umefikia wapi, ameziweka kichwani, anatoa tathmini zitaisha lini, wakandarasi wazembe walipigwa chini, Samaki alikua anadeal nao mpaka watu wakazika nyavu haramu wakaweka na misalaba ukidhani marehemu kumbe nyavu za kuvulia samaki. Alishawahi kukamata magari mengi ya serikali yanayofanya shuguli binafsi, anapangua hoja kwa hoja.
Pia jamaa kasomea Sayansi, na unavyojua science haihitaji longolongo ni facts tu, kwenye science hamna uongo kabisa.
Mpeni Dr Magufuli muone, mawaziri, wakurugenzi, wakuu wa wilaya+Mikoa wataacha kunukia Perfume/Marashi na watachapa kazi, then wananchi nao watachapa kazi
Huyu jamaa Dr Magufu, ni mtaalamu sana, alipopewa wizara ya Ardi, cha kwanza alichokifanya alienda darasani zaidi ya miezi 3 kusoma seria za ardi na mabaraza ja miji/vijiji. Alipoanza kazi ardi palianza kua pasafi, sasa sijui aligusa maslahi ya wakubwa akuchukua muda pale akapelekwa Mifugo na Uvuvi, nako huko akafanya mambo, meli ilikamatwa hana utani na haina maana zilikua haziibi samaki ili waliokuwepo walikua hawafuatilii
Ila SISIEMU tunawajua, watafanya kituko, tusubiri.
Nakuunga mkono, ongezea na yafuatayo ili kuweka record vizuri na sahihi
(i) Aliadabisha na kufukuza wahandisi wazembe 224 Wizarani
(ii) Alizifuta kampuni hewa za makandarasi zaidi ya 1000
(iii) Alirudisha magari, mitambo na pikipiki zikiwa mali za serikali zaidi ya 21,000 na kuyasajili upya mfano PT,DFP,STK, US n.k zoezi hili liliigwa na Kenya na Uganda
(iv)Alimwadabisha mkandarasi aliyekuwa akijenga barabara ya Dsm-Bagamoyo kwa kutotii mkataba kitu kilichompelekea kufilisika
(v) Aliahidi kusafiri kutoka Mtwara kwa taksi mpaka Bukoba-ndoto imetimia
(iv) Leo hii Wizara ya Mifugo n Uvuvi inaingiza billioni 200 kwa mwaka baada ya wajapani kuingia mkataba wa kuvua samaki bahari ya hindi-Tanzania tofauti na mwanzo iliitwa shamba la bibi
(Vi) Na mengine mengi mtayaongezea
Huu ndio uzalendo tunaoutaka " matumizi mazuri ya hela ya walipa kodi" hakuna ubishi watanzania wameiona kazi yake!
Nakuunga mkono, ongezea na yafuatayo ili kuweka record vizuri na sahihi
(i) Aliadabisha na kufukuza wahandisi wazembe 224 Wizarani
(ii) Alizifuta kampuni hewa za makandarasi zaidi ya 1000
(iii) Alirudisha magari, mitambo na pikipiki zikiwa mali za serikali zaidi ya 21,000 na kuyasajili upya mfano PT,DFP,STK, US n.k zoezi hili liliigwa na Kenya na Uganda
(iv)Alimwadabisha mkandarasi aliyekuwa akijenga barabara ya Dsm-Bagamoyo kwa kutotii mkataba kitu kilichompelekea kufilisika
(v) Aliahidi kusafiri kutoka Mtwara kwa taksi mpaka Bukoba-ndoto imetimia
(iv) Leo hii Wizara ya Mifugo n Uvuvi inaingiza billioni 200 kwa mwaka baada ya wajapani kuingia mkataba wa kuvua samaki bahari ya hindi-Tanzania tofauti na mwanzo iliitwa shamba la bibi
(Vi) Na mengine mengi mtayaongezea
Huu ndio uzalendo tunaoutaka " matumizi mazuri ya hela ya walipa kodi" hakuna ubishi watanzania wameiona kazi yake!
Kwa habari nilizonazo anapeleka jina la Benard Membe
Huyu mtu mimi i doubt him sijui lakini
If so tumekwisha finest......maana heri nusu shari kuliko shari kamili
mix with yours