Elections 2010 Nani kuukwaa uwaziri mkuu?

Elections 2010 Nani kuukwaa uwaziri mkuu?

Status
Not open for further replies.
Kama mnafuatilia utetezi wa CCM kumwengua SITTA walisema kinamama waliomba wapewe fursa aidha ya kutoa Waziri Mkuu au Spika, wakakubaliwa kutoa Spika hivyo nafasi ya Waziri Mkuu haiwezi kwenda kwa mwanamke. Prof. Anna Tibajika yeye atapewa wizara inayosimamia shirika la nyumba la Taifa.
 
Japo uwezo anao na anafaa kuvaa viatu hivi lakini KAMWE hawezi kupendekezwa....

naachana na la uwaziri mkuu....natabiri kuteuliwa kwa wanaojiita wapiganaji wa ccm kina kyembe,kilango n.k mwaka huu wataula ukuu wa mikoa na unaibu waziri...kaaazi kweli kweli

mix with yours

Kapwani inawezekana we are expecting the unexpected
 
Pinda ni kweli anafaa, tatizo kubwa yeye ni mtaalamu wa kujibu maswali bungeni, kuchair vikao, kuzima vuguvugu kitaalamu bila mtu kujua kama kuna suluhisho au hakuna, mfano Richmond, leo hii nikikuuliza hata yale mambo serikali iliyoambiwa ishughulikie we unajua yamefikia wapi? Pia ni mwadilifu

Inapokuja utendaje wa nje wa hayo niliyotaja hapo jamaa hayupo kabisa, mpole mno. Lowasa ni mfuatiliaji mzuri ila tatizo lake uadilifu.

Dr Magufuli yeye yuko kote kote, uadilifu, kupangua hoja kwa mifano na live data, na pia ni mfuatiliaji wa mambo. Pia hana jazba ya kugombeza watu hadharani. Tukitaka TZ isonge mbele kote kote, DR MAGUFU ni mtu sahihi kwa sasa. Ila kama tunataka mtu wa kupangua hoja na kujibu maswali vizuri bungeni Pinda ni mtu sahihi kwa sasa.

Ila ujue wananchi wanataka zaidi ya hapo, kuona miradi ya serikali ikikamilika kwa wakati na pia kua na value of maney. Magufuli alipokua Ujenzi, ardi, Uvuvi na Mifugo, amefanya kazi zinazoonekana.

Hii kazi mpeni Dr Magufuli, CCM itarudi 2015 bila kuweka mabango kama mwaka huu. Ila wakimwachia huyu aliyetoka theni wajiandae kuongeza budget ya mabango ya kampeni mara 4 zaidi ifikapo 2015.

Dr Magufuli sii mchezo, Jamaa alikua anafuatilia barabara, ujenzi umefikia wapi, ameziweka kichwani, anatoa tathmini zitaisha lini, wakandarasi wazembe walipigwa chini, Samaki alikua anadeal nao mpaka watu wakazika nyavu haramu wakaweka na misalaba ukidhani marehemu kumbe nyavu za kuvulia samaki. Alishawahi kukamata magari mengi ya serikali yanayofanya shuguli binafsi, anapangua hoja kwa hoja.

Pia jamaa kasomea Sayansi, na unavyojua science haihitaji longolongo ni facts tu, kwenye science hamna uongo kabisa.

Mpeni Dr Magufuli muone, mawaziri, wakurugenzi, wakuu wa wilaya+Mikoa wataacha kunukia Perfume/Marashi na watachapa kazi, then wananchi nao watachapa kazi

Huyu jamaa Dr Magufu, ni mtaalamu sana, alipopewa wizara ya Ardi, cha kwanza alichokifanya alienda darasani zaidi ya miezi 3 kusoma seria za ardi na mabaraza ja miji/vijiji. Alipoanza kazi ardi palianza kua pasafi, sasa sijui aligusa maslahi ya wakubwa akuchukua muda pale akapelekwa Mifugo na Uvuvi, nako huko akafanya mambo, meli ilikamatwa hana utani na haina maana zilikua haziibi samaki ili waliokuwepo walikua hawafuatilii

Ila SISIEMU tunawajua, watafanya kituko, tusubiri.

ze following user says senki you so much for zis usifuli posti...bob giza (today), 16th.nov at 9:48
 
Kama mnafuatilia utetezi wa CCM kumwengua SITTA walisema kinamama waliomba wapewe fursa aidha ya kutoa Waziri Mkuu au Spika, wakakubaliwa kutoa Spika hivyo nafasi ya Waziri Mkuu haiwezi kwenda kwa mwanamke. Prof. Anna Tibajika yeye atapewa wizara inayosimamia shirika la nyumba la Taifa.

Hivi huko siyo kuvunja katiba ya nchi kweli? Kuna mahali popote inaposema wakina mama wawe na haki ya kutoa maamuzi au madai kama hayo? kama ndivyo kweli ilivyotokea kuchaguliwa huyo Mama, basi sina shaka kuwa katiba ilivunjwa makusudi na kundi la viongozi wetu limekuwa kama darasa la chekechea. Hatukatai mwanamama kuwa Spika lakini watu wagombee na wateuliwe kwa umakini wao kufuatana na umuhimu wa nafasi ile. Sidhani kama ni sawa kutoa nafasi ya uspika kama zawadi. ITS A SHAME!!
 
Habari kutoka Dodoma zinasema kuwa kati ya Tibaijuka na Magufuli mmojawapo atateuliwa kuwa Waziri Mkuu. Awali kulikuwa na candidates watatu mezani kwa Kikwete; akiwemo Mwandosya, ambaye sasa jina lake limeondolewa.
Akitambua bayana kuwa serikali yake haina haiba wala mvuto wa kutosha kuungwa mkono na wananchi, Kikwete amesema anataka waziri Mkuu "kukuru-kakara" atakayeweza kuburuza hybrid policy katika kilimo, viwanda (manufacturing) kwa ajili ya kuleta impact katika ajira. Huu ni mkakati wa ku-mobilize vijana amabo wanaonekana kuitupa mkono CCM, hasa kutokana na uzoefu wa CCm kutoungwa mkono na vijana wengi wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu wa 2010.
Nwasilisha. Tuendelee kutega masikio yetu.
 
Hivi huko siyo kuvunja katiba ya nchi kweli? Kuna mahali popote inaposema wakina mama wawe na haki ya kutoa maamuzi au madai kama hayo? kama ndivyo kweli ilivyotokea kuchaguliwa huyo Mama, basi sina shaka kuwa katiba ilivunjwa makusudi na kundi la viongozi wetu limekuwa kama darasa la chekechea. Hatukatai mwanamama kuwa Spika lakini watu wagombee na wateuliwe kwa umakini wao kufuatana na umuhimu wa nafasi ile. Sidhani kama ni sawa kutoa nafasi ya uspika kama zawadi. ITS A SHAME!!

CCM inajumuiya zake mojawapo ni kinamama (UWT) ambapo ndani ya chama chao UWT waliomba kuongoza mmojawapo wa mihimi mitatu, kwa hiyo haya yalikuwa maamuzi ndani ya chama na si ya kiserikali. Sidhani kama Katiba ilivunjwa kwani ni CCM waliamua kumsimamisha mwanamke na hawakulazimisha vyama vingine na vyenyewe vimsimamishe mwanamke ndio maana CHADEMA wao walimsimamisha mwanaume
 
Pinda ni kweli anafaa, tatizo kubwa yeye ni mtaalamu wa kujibu maswali bungeni, kuchair vikao, kuzima vuguvugu kitaalamu bila mtu kujua kama kuna suluhisho au hakuna, mfano Richmond, leo hii nikikuuliza hata yale mambo serikali iliyoambiwa ishughulikie we unajua yamefikia wapi? Pia ni mwadilifu

Inapokuja utendaje wa nje wa hayo niliyotaja hapo jamaa hayupo kabisa, mpole mno. Lowasa ni mfuatiliaji mzuri ila tatizo lake uadilifu.

Dr Magufuli yeye yuko kote kote, uadilifu, kupangua hoja kwa mifano na live data, na pia ni mfuatiliaji wa mambo. Pia hana jazba ya kugombeza watu hadharani. Tukitaka TZ isonge mbele kote kote, DR MAGUFU ni mtu sahihi kwa sasa. Ila kama tunataka mtu wa kupangua hoja na kujibu maswali vizuri bungeni Pinda ni mtu sahihi kwa sasa.

Ila ujue wananchi wanataka zaidi ya hapo, kuona miradi ya serikali ikikamilika kwa wakati na pia kua na value of maney. Magufuli alipokua Ujenzi, ardi, Uvuvi na Mifugo, amefanya kazi zinazoonekana.

Hii kazi mpeni Dr Magufuli, CCM itarudi 2015 bila kuweka mabango kama mwaka huu. Ila wakimwachia huyu aliyetoka theni wajiandae kuongeza budget ya mabango ya kampeni mara 4 zaidi ifikapo 2015.

Dr Magufuli sii mchezo, Jamaa alikua anafuatilia barabara, ujenzi umefikia wapi, ameziweka kichwani, anatoa tathmini zitaisha lini, wakandarasi wazembe walipigwa chini, Samaki alikua anadeal nao mpaka watu wakazika nyavu haramu wakaweka na misalaba ukidhani marehemu kumbe nyavu za kuvulia samaki. Alishawahi kukamata magari mengi ya serikali yanayofanya shuguli binafsi, anapangua hoja kwa hoja.

Pia jamaa kasomea Sayansi, na unavyojua science haihitaji longolongo ni facts tu, kwenye science hamna uongo kabisa.

Mpeni Dr Magufuli muone, mawaziri, wakurugenzi, wakuu wa wilaya+Mikoa wataacha kunukia Perfume/Marashi na watachapa kazi, then wananchi nao watachapa kazi

Huyu jamaa Dr Magufu, ni mtaalamu sana, alipopewa wizara ya Ardi, cha kwanza alichokifanya alienda darasani zaidi ya miezi 3 kusoma seria za ardi na mabaraza ja miji/vijiji. Alipoanza kazi ardi palianza kua pasafi, sasa sijui aligusa maslahi ya wakubwa akuchukua muda pale akapelekwa Mifugo na Uvuvi, nako huko akafanya mambo, meli ilikamatwa hana utani na haina maana zilikua haziibi samaki ili waliokuwepo walikua hawafuatilii

Ila SISIEMU tunawajua, watafanya kituko, tusubiri.

Nakuunga mkono, ongezea na yafuatayo ili kuweka record vizuri na sahihi
(i) Aliadabisha na kufukuza wahandisi wazembe 224 Wizarani
(ii) Alizifuta kampuni hewa za makandarasi zaidi ya 1000
(iii) Alirudisha magari, mitambo na pikipiki zikiwa mali za serikali zaidi ya 21,000 na kuyasajili upya mfano PT,DFP,STK, US n.k zoezi hili liliigwa na Kenya na Uganda
(iv)Alimwadabisha mkandarasi aliyekuwa akijenga barabara ya Dsm-Bagamoyo kwa kutotii mkataba kitu kilichompelekea kufilisika
(v) Aliahidi kusafiri kutoka Mtwara kwa taksi mpaka Bukoba-ndoto imetimia
(iv) Leo hii Wizara ya Mifugo n Uvuvi inaingiza billioni 200 kwa mwaka baada ya wajapani kuingia mkataba wa kuvua samaki bahari ya hindi-Tanzania tofauti na mwanzo iliitwa shamba la bibi
(Vi) Na mengine mengi mtayaongezea

Huu ndio uzalendo tunaoutaka " matumizi mazuri ya hela ya walipa kodi" hakuna ubishi watanzania wameiona kazi yake!
 
hapo akipewa magufuli ndo mawaziri watajua nini maana ya kuwa waziri...yaani huyo hana longolongo ni kunyosha mstari
 
Nakuunga mkono, ongezea na yafuatayo ili kuweka record vizuri na sahihi
(i) Aliadabisha na kufukuza wahandisi wazembe 224 Wizarani
(ii) Alizifuta kampuni hewa za makandarasi zaidi ya 1000
(iii) Alirudisha magari, mitambo na pikipiki zikiwa mali za serikali zaidi ya 21,000 na kuyasajili upya mfano PT,DFP,STK, US n.k zoezi hili liliigwa na Kenya na Uganda
(iv)Alimwadabisha mkandarasi aliyekuwa akijenga barabara ya Dsm-Bagamoyo kwa kutotii mkataba kitu kilichompelekea kufilisika
(v) Aliahidi kusafiri kutoka Mtwara kwa taksi mpaka Bukoba-ndoto imetimia
(iv) Leo hii Wizara ya Mifugo n Uvuvi inaingiza billioni 200 kwa mwaka baada ya wajapani kuingia mkataba wa kuvua samaki bahari ya hindi-Tanzania tofauti na mwanzo iliitwa shamba la bibi
(Vi) Na mengine mengi mtayaongezea

Huu ndio uzalendo tunaoutaka " matumizi mazuri ya hela ya walipa kodi" hakuna ubishi watanzania wameiona kazi yake!

Lisemwalo lipo kama halipo basi laja, ila kwa serikali ya mkwere unaweza ukaletewa mtu hadi ukachoka mwenyewe
 
Nakuunga mkono, ongezea na yafuatayo ili kuweka record vizuri na sahihi
(i) Aliadabisha na kufukuza wahandisi wazembe 224 Wizarani
(ii) Alizifuta kampuni hewa za makandarasi zaidi ya 1000
(iii) Alirudisha magari, mitambo na pikipiki zikiwa mali za serikali zaidi ya 21,000 na kuyasajili upya mfano PT,DFP,STK, US n.k zoezi hili liliigwa na Kenya na Uganda
(iv)Alimwadabisha mkandarasi aliyekuwa akijenga barabara ya Dsm-Bagamoyo kwa kutotii mkataba kitu kilichompelekea kufilisika
(v) Aliahidi kusafiri kutoka Mtwara kwa taksi mpaka Bukoba-ndoto imetimia
(iv) Leo hii Wizara ya Mifugo n Uvuvi inaingiza billioni 200 kwa mwaka baada ya wajapani kuingia mkataba wa kuvua samaki bahari ya hindi-Tanzania tofauti na mwanzo iliitwa shamba la bibi
(Vi) Na mengine mengi mtayaongezea

Huu ndio uzalendo tunaoutaka " matumizi mazuri ya hela ya walipa kodi" hakuna ubishi watanzania wameiona kazi yake!

Hii imekaa vema kwa nchi zinazoendelea ambako uadilifu na uwezo wa mtu unathaminiwa....vi nchi vyetu hivi tuna vigezo tifauti kidogo...niliwahi kusikiwa baba yake mzinda.....alikuwa mganga wa rais fulani.....unadhani wazungu walivyotutukana kuwa mila na tamaduni zetu za kishenzi walikosea??? walitusoma wakatuelewa...conclusion yao naikubali daima

mix with yours
 
Nina wasiwasi kwa Magufuli, kwa sababu anawekuwa remotely controlled, but Tibaijuka ni mwanamke wa shoka.
 
Kuna jina moja tu ambalo halitajwi na litawashangaza wengi. Hii safi ya JK ni ya kumuandaa mrithi wake 2015 next PM atakuwa BENARD MEMBE (mbunge wa Mtama) Mark my word
 
Kama Tibaijuka watampa u-PM basi Magufuli wampe kwenye Madini.....!! Lakini wote hao ni watu wa kazi!
 
If so tumekwisha finest......maana heri nusu shari kuliko shari kamili
mix with yours

Ndio pale umma utakaposhangaa maana kuna majina ambayo ukiangalia utendaji wao wa kazi ni mzuri sana lakini litakuja jina ambalo haukuwahi kufikiria hata siku moja ndiyo hivyo serikali ya mkwere ilivyo tusubirie jioni ifike ili huu utabiri tunaoufanya hapa tuone kama utatimia
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom