Habari kutoka Dodoma zinasema kuwa kati ya Tibaijuka na Magufuli mmojawapo atateuliwa kuwa Waziri Mkuu. Awali kulikuwa na candidates watatu mezani kwa Kikwete; akiwemo Mwandosya, ambaye sasa jina lake limeondolewa.
Akitambua bayana kuwa serikali yake haina haiba wala mvuto wa kutosha kuungwa mkono na wananchi, Kikwete amesema anataka waziri Mkuu "kukuru-kakara" atakayeweza kuburuza hybrid policy katika kilimo, viwanda (manufacturing) kwa ajili ya kuleta impact katika ajira. Huu ni mkakati wa ku-mobilize vijana amabo wanaonekana kuitupa mkono CCM, hasa kutokana na uzoefu wa CCm kutoungwa mkono na vijana wengi wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu wa 2010.
Nwasilisha. Tuendelee kutega masikio yetu.[/QUOTE
]
TATIZO NI KICHWA CHA TRENI NDIO KINA MAPUNGUFU, HATA MAWAZIRI WA WA AWMU YA KWANZA BAADA YA KUWATEUA AKWA ANAFANYA KAZI NA MAKATIBU WAKUU MOJA KWA MOJA KUPITIA KWA KATIBU KIONGOZI. MMESAHAU YALIYOTOKEA KWA MALIASILI WAKATI WA MKURUGENZI ALIYEKATAA UHAMISHO WA WAZIRI NA KATIBU MKUU KISA KULINDWA NA KATIBU MKUU KIONGOZI.
KWA HAKIKA KASI WALIYOANZA NAYO WAZIRI DIALLO NA KATIB U MKUU SALEHE PAMBAPALE MALIASILI ILIKUWA KALI NA LEO HI MALIASILI ZETU ZOTE ZINGEKUWA MIKONONI MWETU, LAKINI ALIWAKATISHA TAMAA MWENYEWE. HATA HAWA ATAKAOWATEUA SASA ATAWAKATISHA TAMAA PIA.