hivyo ndivo ilivyo, Hussein Mwinyi kwa njia alizoanza nazo kujaribu kuenda na siasa za usawa ni wazi kuwa asingeweza kushinda uchaguzi ujao bila ya kupata support ya ACT kimakubaliano, bila ya hivo atalazimika kurejesha vurugu za nyuma.kwa jinsi SUK ilivyoanza kazi ndani ya siku 100 maalim alikuwa anakwenda kumtengenezea njia ya ushindi mkubwa bwana hussein mnamo 2025.
maalim hakuwa na nguvu tena ya kuwa mgombea wa uraisi mnamo 2025 hivyo angelikosekana mwanadamu sahihi aliyetoka kwenye system ya serikali mwenye uwezo wa kumchalenge hussein kwenye jukwaa lijalo