Freeman MboweHapana shaka CCM ni SSH:
ACT-Wazalendo ni ZZK:
CHAUMMA ni HRS:
CHADEMA ni nani?
Maoni yangu;
-Chadema wange 'vujisha' mgombea wao ili wananchi wamzoee, wampime ....kusudi, ikifika 2025 wasishtukizwe na mgombea ambaye pengine hawamuelewi vizuri tabia na uwezo wake.
Tanzania hakuna uchaguzi, bali Kuna maonyesho ya ujinga wa mtu Mweusi kwenye box la kura. Sasa sijui unataka upewe mgombea wa cdm kwa uchaguzi gani.Hapana shaka CCM ni SSH:
ACT-Wazalendo ni ZZK:
CHAUMMA ni HRS:
CHADEMA ni nani?
Maoni yangu;
-Chadema wange 'vujisha' mgombea wao ili wananchi wamzoee, wampime ....kusudi, ikifika 2025 wasishtukizwe na mgombea ambaye pengine hawamuelewi vizuri tabia na uwezo wake.
Kwa uchaguzi gani labda?SSH ni Mgombea wa CCM na Chadema
Interest ya Chadema ni kupata Viti vingi vya Ubunge na Udiwani n kupata ruzuku ya kutosha
Wanasubiri makando kando ya CCM. Unaweza sikia hata Ndugai kapewa shavu!Wampe mnyika..tupate kijana.
To me, I would vote for Mnyika.
Bila shaka..SSH ni Mgombea wa CCM na Chadema
Interest ya Chadema ni kupata Viti vingi vya Ubunge na Udiwani n kupata ruzuku ya kutosha
Pasina Shaka Yoyote kwa cdm, From The Pockets and Bottom of the Heart of The Chairman Taifa 🐒Hapana shaka CCM ni SSH:
ACT-Wazalendo ni ZZK:
CHAUMMA ni HRS:
CHADEMA ni nani?
Maoni yangu;
-Chadema wange 'vujisha' mgombea wao ili wananchi wamzoee, wampime ....kusudi, ikifika 2025 wasishtukizwe na mgombea ambaye pengine hawamuelewi vizuri tabia na uwezo wake.
TUTAKUPENDEKEZA WEWEHapana shaka CCM ni SSH:
ACT-Wazalendo ni ZZK:
CHAUMMA ni HRS:
CHADEMA ni nani?
Maoni yangu;
-Chadema wange 'vujisha' mgombea wao ili wananchi wamzoee, wampime ....kusudi, ikifika 2025 wasishtukizwe na mgombea ambaye pengine hawamuelewi vizuri tabia na uwezo wake.
[emoji2][emoji2][emoji2]James Mbowe
Huyo SSH umemjua kwakuwa anaendelea mwanzo ulijua angekuwaga magu? Alojaribu kubeep tuu ikapokewa?Hapana shaka CCM ni SSH:
ACT-Wazalendo ni ZZK:
CHAUMMA ni HRS:
CHADEMA ni nani?
Maoni yangu;
-Chadema wange 'vujisha' mgombea wao ili wananchi wamzoee, wampime ....kusudi, ikifika 2025 wasishtukizwe na mgombea ambaye pengine hawamuelewi vizuri tabia na uwezo wake.
Nawashauri this time wasichukue mtu aliyetemwa kwenye vyama vingine. Wajiamini. Wakitulia watagundua kuwa wana watu wanaofaa kupewa majukumu makubwa.Wanasubiri makando kando ya CCM. Unaweza sikia hata Ndugai kapewa shavu!