Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AWampe mnyika..tupate kijana. Aliyegombea last time anafaa kwenye uanaharakati zaidi.
To me, I would vote for Mnyika
Nawashauri this time wasichukue mtu aliyetemwa kwenye vyama vingine. Wajiamini. Wakitulia watagundua kuwa wana watu wanaofaa kupewa majukumu makubwa.
Alipataga kura lani nane huyu alipogombea urais🙆♂️🙆♂️Freeman Mbowe
Alipataga kura lani nane huyu alipogombea uraisFreeman Mbowe
Tatizo chama chake kinapataga kura upande wa kaskazini tu,maeneo mengine ya nchi ninkuokoteza mfano Mbeya na Musoma .Kwa muktadha huu sio raisi kuweza kuwa rais wa nchi yetu pendwaMimi ningependa Tundu Lissu
Inasikitisha kuona hii Nchi ina Vijana design yako waliokubali kuwa Chawa wakati Vijana wa Senegal wamefanya kweli.Tatizo chama chake kinapataga kura upande wa kaskazini tu,maeneo mengine ya nchi ninkuokoteza mfano Mbeya na Musoma .Kwa muktadha huu sio raisi kuweza kuwa rais wa nchi yetu pendwa
Heche anatoshaHapana shaka CCM ni SSH:
ACT-Wazalendo ni ZZK:
CHAUMMA ni HRS:
CHADEMA ni nani?
Maoni yangu;
-Chadema wange 'vujisha' mgombea wao ili wananchi wamzoee, wampime ....kusudi, ikifika 2025 wasishtukizwe na mgombea ambaye pengine hawamuelewi vizuri tabia na uwezo wake.
John Pambalu anazidi kupikwa na kuiva namuona ni Kiongozi mzuri sana ajae kwenye Taifa letu.Heche anatosha