Pre GE2025 Nani kuwa Mgombea Urais CHADEMA 2025?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mtanange wa Urais 2025 utakuwa Kanda ya maji baridi.
 
Zitto size yake ya siku zote ni ubunge. Hawezi kigombea zaidi ya hapo.
 
Watampa Mchungaji Msigwa au bilionea Jacob
A
 
Tatizo chama chake kinapataga kura upande wa kaskazini tu,maeneo mengine ya nchi ninkuokoteza mfano Mbeya na Musoma .Kwa muktadha huu sio raisi kuweza kuwa rais wa nchi yetu pendwa
Inasikitisha kuona hii Nchi ina Vijana design yako waliokubali kuwa Chawa wakati Vijana wa Senegal wamefanya kweli.
 
Heche anatosha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…