Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
Apewe lamine yamal
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
George weah ni Mzungu? Ronaldo Lima ni Mzungu?
ww unaongelea miaka ya zamani huko..sasahivi hiyo tuzo inatolewa kibiashara zaidi kupitia wadhamini wa hizo tuzo!George weah ni Mzungu? Ronaldo Lima ni Mzungu?
Kabisa dogo aanze kula mema ya nchi mwanzoni kabisa, ila lejendar Dan Carvajal gonna take itApewe lamine yamal
Dogo ana jua mpira ila kiwango chake hajamfikia hata arjen roben alipo kuwa kwenye ubora wakeApewe lamine yamal
Pima huyo robben AKiwa umri wa miaka 17 alichukua euro halafu nipe majibu tena sio kuchukua tu dogo ndio super star Spain kaiwezesha kubeba euro Sasa pima huo umri na robben alivyokua na huo umriDogo ana jua mpira ila kiwango chake hajamfikia hata arjen roben alipo kuwa kwenye ubora wake
Na ndio ilitakiwa kuwa hivyo Mkuu., Dani alikuwa na kiwango bora sana msimu uliopita, sio kwenye club wala Taifa, alikiwasha kweli kweli.Kiuhalisia anayestahili ni Dani Carvajal kashinda UEFA, La liga na Euros. Kote ni starter na kakiwasha.
Ila atayepewa ni Vini Jr au Rodri.
Valverde mtu mbaya kbsa jamaa anajua sana sema tu underratedVarlverde au Dani Carvajal.