ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Azam wanaitangaza sana game ya Kiba vs Samata, nimejiuliza ni nani aliyefikiria kuleta game hii? Lengo lake nini? Kwanini watanzania hatupendi kuwa serious wakati mwingine? Tupo nyuma sana katika sanaa hii kwanini tunapenda kuleta u Comedy kwenye kila kitu? Kama ni lengo burudani Why basi isiandaliwe mechi ya kirafiki Kati ya Simba SC vs Genk ya Samata? Au game ya kirafiki Taifa stars vs Drc?
Ni kama wabongo hatujielewi wapi tulipo na wapi twaelekea ktk tasnia ya soka la dunia ...lini tutakua serious?
Niwapongeze tu Sportpesa kwa jambo zuri walilolifanya kwa kutuletea moja ya timu bora duniani. Huo ndiyo mfano tuliotakiwa tuufuate kuelekea soka la kimataifa.
Ni kama wabongo hatujielewi wapi tulipo na wapi twaelekea ktk tasnia ya soka la dunia ...lini tutakua serious?
Niwapongeze tu Sportpesa kwa jambo zuri walilolifanya kwa kutuletea moja ya timu bora duniani. Huo ndiyo mfano tuliotakiwa tuufuate kuelekea soka la kimataifa.