Nani mjanja kati ya hawa...

Nani mjanja kati ya hawa...

Joined
Jul 31, 2015
Posts
85
Reaction score
9
_mwalimu wa shule xxx aliingia darasani na kuanza kuwaulza maswali wanafunzi

_ebu niambieni huwa mkitoka shule mnakwenda wapi..

mwanafunzi wa 1:huwa nakwenda kwa micaely michael kuvuta bangi

mwanafunzi wa 2:huwa nakwenda kwa micaely michael kununua sigara

mwanafunzi 3:huwa nakwenda kwa micaely michael kuangalia picha za xxx

mwanafunzi wa 4:huwa nakwenda kwa micaely michael kununua madawa ya kulevya

mwanafunzi wa 5 wakike:huwa nakwenda kwa micaely michael kunifundisha mapenzi

mwanafunzi wa 6:huwa nakwenda kwa micaely michael kujifunza kupigana

mwanafunzi wa 7:huwa nakwenda kwa micaely michael kuchukua bangi na kwenda kuuza

mwanafunzi wa 8: huwa nakwenda nyumbani na kujisomea.

mwalimu_safi sana unaonekana una akili ebu niambie unaitwa nani...

mwanafunzi wa 8-naitwa micaely michael
***********************
UNGEKUWA WEWE NDIO MWALIMU UNGECHUKUA MAAMUZI GANI...


by: micaely michael 0716117373
 
ujinga mtupu hapo sioni logic katika mada yako, watu wengine inabidi mrudi shule mkafaid elimu bure.
 
Back
Top Bottom