Nani mkali kati hawa wanamuziki

ungesema nani kati ya hawa alikuwa mwanamziki mkali........

wengi wao wamekimbia fani!!!!!!!!!
 
ungesema nani kati ya hawa alikuwa mwanamziki mkali........

wengi wao wamekimbia fani!!!!!!!!!


aliekimbia fani hapo ni GK tu...
Na masomo ndo yalifanya awe kimya...
Naomba unitajie wengine waliokimbia fani plz
 
Kiukweli Watu Wanaeza Kuona Gk Alikua Wa Kawaida Sanaaa... ila Kwa Mtu Anaejua Hip Hop Kwenye Kipengele Cha The art Of story Telling Sidhani Kama Anampinzani Kwa Tanzaniaaa.. maana Jay Mo Na Professor Nao N ma Story Teller Ila HawajamfikiaaaNa Mpaka Sasa Tumekosa Vjana wanao fanya Rap Ya story Telling
 
Ay hafit on that list!for rest,jaymoe mkare
 

mkuu profesa j ni level nyingine sana!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…